Much as I know Blocks za numerical ni vile viwanja vya mradi mkuu, alphabet ni viwanja walivyojipimia watu wenyewe!
Nimepata info za kutosha ndio maana nikaleta maada mkuu, sina tabia ya kukurupuka maana najiamini na kazi yangu, I am more than a dalali, I am a trained and graduate Land economist, Due diligence ndo mahala pake!
Kutaja bei ama kutotaja hayo ni matakwa ya muuzaji, kama muuzaji hataki property yake iwe displayed in terms of image na price, I have to dance the tune! I am just a broker!
Nimepata info za kutosha ndio maana nikaleta maada mkuu, sina tabia ya kukurupuka maana najiamini na kazi yangu, I am more than a dalali, I am a trained and graduate Land economist, Due diligence ndo mahala pake!
Kutaja bei ama kutotaja hayo ni matakwa ya muuzaji, kama muuzaji hataki property yake iwe displayed in terms of image na price, I have to dance the tune! I am just a broker!
Mchango wako ni mzuri mkuu but inabidi ufunguke, mji unakuwa ni si kila mtu anafanya kazi city centre!
unawezanunua property either kwa kuoccupy mwenyewe ama for investment purpose! Kama unaishi nyumba ya kupanga, unaweza pia wajengea wengine na wewe ukawa Landlord/Landlady.
Kuhusiana na infrastructure, kuna project ipo jirani (bahari beach town project) ambao wataweka ferry terminal to city centre tembelea hapa Bahari Beach Project Main Page
serikali pia inajenga satelite town kibao likiwemo eneo la bunju!
Karibu mkuu!
Kutaja bei ama kutotaja hayo ni matakwa ya muuzaji, kama muuzaji hataki property yake iwe displayed in terms of image na price, I have to dance the tune! I am just a broker!
kama ataki kutaja bei toa tangazo lako na mwambie aache kuiuza hiyo nyumba
hamna mtu atakaye nunua nyumba bila price, nakushangaa alafu unatamba umesomea na kuandika pumba kiasi hichi
nyumba ikiwa inauzwa lazima iwe na bei, kama yeye ataki kusema bei yake ni sawa sawa na hataki kuuza, au nyie ndio wale unamwangalia mtu amekuja na gari gani ndio unapanga bei.......
lazima uwe na masharti ya biashara moja wapo ni bei, na ki ukweli kabisa wewe ni part of the problem kwa ajili unajua bei na umeiweka kapuni
Duh bei maelewano?
Hapo kuna 10% ya dalali weka bei hapa na si wengine ni madalali kwa rafiki zetu kama wanataka si unamtajia bei....sasa ukimwambia bei maelewano duh!
Nimetoa namba ya simu na bado unawezakuni-PM, tatizo liko wapi mkuu?
Kutaja bei ama kutotaja hayo ni matakwa ya muuzaji, kama muuzaji hataki property yake iwe displayed in terms of image na price, I have to dance the tune! I am just a broker!