MKATA KIU
JF-Expert Member
- Nov 22, 2010
- 2,855
- 6,213
Heshima kwenu brothers and sisters
Baada ya kupitia thread nyingi sana za mmu na stories za ndugu na jamaa nimegundua true love does not exist as everybody has a price tag,
Bila kudanganyana kila mtu ana vigezo vyake kwanza kabla hajatoa upendo, ni kawaida sana kusikia mtu anasema " I culd not marry a man/woman asiyepita pita hata universtity kidogo kushiriki suplementary hata akutane na mdada aweje kama shule hajapita love escape through the window,
Mwingine unasikia anasema awezi kuoa/kuolewa au kuwa na mahusiano ya uhakika na mdada au mkaka anaetoka familia maskini as maisha yamekuwa magumu sana anaona kama atabebeshwa mzigo so hata apendwe vp na hali duni yeye ni no.
Mwingine anasema hawezi kuolewa/ kuoa mtu asiye na uhakika wa maisha I mean mwelekeo as hayuko tayari kulala njaa,
Mwingine anamuacha mchumba wake kisa uginjwa eti mtu mgonjwa mgonjwa hamtaki na anasahau ugonjwa unaweza ukaja mda wowote hata kwake yeye,
Mwingine proffessional ndo inadecide ampende mtu, yaan kama wewe mvuvi na yeye upendo alijiandaa kumpa engineer ujue hufai as uja fit price tag yake...
yaan maisha yalivyo magumu ndo price tag za upendo zinazidi kuongezeka hii inakuaje wadau? Kwa nini mnajiweka price tag hadi kwenye emotions
Baada ya kupitia thread nyingi sana za mmu na stories za ndugu na jamaa nimegundua true love does not exist as everybody has a price tag,
Bila kudanganyana kila mtu ana vigezo vyake kwanza kabla hajatoa upendo, ni kawaida sana kusikia mtu anasema " I culd not marry a man/woman asiyepita pita hata universtity kidogo kushiriki suplementary hata akutane na mdada aweje kama shule hajapita love escape through the window,
Mwingine unasikia anasema awezi kuoa/kuolewa au kuwa na mahusiano ya uhakika na mdada au mkaka anaetoka familia maskini as maisha yamekuwa magumu sana anaona kama atabebeshwa mzigo so hata apendwe vp na hali duni yeye ni no.
Mwingine anasema hawezi kuolewa/ kuoa mtu asiye na uhakika wa maisha I mean mwelekeo as hayuko tayari kulala njaa,
Mwingine anamuacha mchumba wake kisa uginjwa eti mtu mgonjwa mgonjwa hamtaki na anasahau ugonjwa unaweza ukaja mda wowote hata kwake yeye,
Mwingine proffessional ndo inadecide ampende mtu, yaan kama wewe mvuvi na yeye upendo alijiandaa kumpa engineer ujue hufai as uja fit price tag yake...
yaan maisha yalivyo magumu ndo price tag za upendo zinazidi kuongezeka hii inakuaje wadau? Kwa nini mnajiweka price tag hadi kwenye emotions