Ngoja ni mPM
shida ni nini.....hebu nielezee bayana lililopo moyoni.....
pliz Madam Preta msikize mwenzo,pl!!!
Preta kokote ulipo tunaomba uwasiliane na huyu kijana.
Kumbe Preta yuko bomba enhe? Ngoja ni m-PM nitupe karata yangu huenda nkafanikiwa wakati wewe unasuasua.
Yani mi ndiyo kabisa roho inaelea elea kisa preta tena najua yupo arusha tutafutane basi
aspen unasemaje? Ebu usinitafutie ban. . .
Huogopi mke wa mtu?
Akikupiga PM uniforwadie kama kawaida!
mbona sasa husemi kama umeiona.....nishakutumia.....
halafu nimekukosa sana ujue........
Hivi kumbe huyu Preta ni Shori...JF bana mi nilidhani ni mmeni huyu...
Aah hii dunia naona kama imevaa bukta vile, ina-trot. Mambo iko junguluka!.halafu wewe.....kwa nini tupishane hivyo lakini.....tena bila salam.....wai....?