Mrembo preta uko wapi?umebadilisha ID au ni majukumu?jitokeze mwandani nimekumiss!
Mhandisi jitokeze unatafutwa hapa....
PJ unaanzisha ugomvi halafu umekaa kwenye nyumba ya vioo shauri yalo, mara Kericho sijui shauri yako! Preta mama koki ile smg niliyokupa na kukufundisha vyema jinsi ya kuitumia PJ analeta maskhara hapa vinginevyo alasilmu amri.Mkuu, pole sana!
Kama maumivu yanazidi wasiliana na mimi nikumwagie macontact yake!
Siku hizi kaendelea huyu!...Mambo yake ANAMALIZIA Kericho...haji tena pale M/Meru.
Kweli huyu mtu ameadimika kama mizizi ya jiwe!.Mrembo preta uko wapi?umebadilisha ID au ni majukumu?jitokeze mwandani nimekumiss!
Libya tena umeenda kuongeza silaha smg haitoshi kumuangamiza PJ na Kericho yake?Mhandisi safarini Libya.........
Mkuu, pole sana!
Kama maumivu yanazidi wasiliana na mimi nikumwagie macontact yake!
Siku hizi kaendelea huyu!...Mambo yake ANAMALIZIA Kericho...haji tena pale MMRH.
NAWE SI ujifichefiche kidogo kwanza umfanyie pozi zako zile za kumtoa nyoka pangoni?!...Dakika tu ushajitokeza?...utakosa nanihiino, ohoooo!Nipo mpenzi.......sijabadili ID wala nini......majukumu yamezidi........nimekumiss sana mno mno......
Kweli huyu mtu ameadimika kama mizizi ya jiwe!.
Libya tena umeenda kuongeza silaha smg haitoshi kumuangamiza PJ na Kericho yake?
Kericho siendi tena.......nshasema......halafu wewe......nitakapokushika.........umwambie na mwenzio SV.......mtajibeba siku hiyo
Kericho siendi tena.......nshasema......halafu wewe......nitakapokushika.........umwambie na mwenzio SV.......mtajibeba siku hiyo
Utatupiga na kreti ngapi za Reddz aka Namaqua?...maana najuaga hasira hasira zako zinakuwaga za kumnanihii mtu hadi atembelee magoti!
Shemejiii......Naona umemisiwa weye.....