samora10
JF-Expert Member
- Jul 21, 2010
- 7,594
- 4,798
Dah! imekula kwangu aisee! Whyy Preta? Kwanini lakini? au kwasababu sikukununulia jenereta kipindi cha mgao? naomba unilejeshee kinokia tochi changu nilichokuletea zawadi kipindi cha uchumba hewa wetu.
na wewe AD sitoquote post zako kwa muda wa wiki 2 , hii ni azabu yako ya kuanzisha hili sredi.
mkiona sijibu posts mjue nimezimia.
ha ha ha ha haaa mkuu mi ndo nimezinduka baada ya kuzimia! niko njiani naelekea yaeda chini... i have to hear this face2face:car: