Mphamvu
JF-Expert Member
- Jan 28, 2011
- 10,702
- 3,288
Kamanda Kova amefanya press conference, baada ya Jeshi la polisi, Kanda Maalum ya Dar es salaam, kukamata watu kadhaa kwa tuhuma za makosa mbalimbali. Mmoja wao amekamatwa kwa tuhma za kujifanya kuwa Katibu Mkuu wa CCM, Kova amemwita huyu bwana tapeli, na amemtambulisha mbele ya vyombo vya habari kuwa ni tapeli, kikubwa zaidi ni kuwa Katibu Mkuu wa CCM, Ilala, nae akaja mbele ya kamera ili kuthibitisha madai ya jeshi la polisi, na kutoa testimony yake.
Source: Clouds TV, DONDOO ZA HABARI.
My take: Mchakato uliofanyika mbele ya waandishi wa habari umechukua sura ya kimahakama, huku Kova akiwa ndio delegate wa JAJI wa mahakama hiyo isiyo rasmi. Naona haki kwa mtuhumiwa haikutendeka hapa, kwani ameishatambulishwa kuwa ni tapeli.
Nimeona niilete kwenu wanajamvi mnipe maoni yenu.
Karibuni!
Source: Clouds TV, DONDOO ZA HABARI.
My take: Mchakato uliofanyika mbele ya waandishi wa habari umechukua sura ya kimahakama, huku Kova akiwa ndio delegate wa JAJI wa mahakama hiyo isiyo rasmi. Naona haki kwa mtuhumiwa haikutendeka hapa, kwani ameishatambulishwa kuwa ni tapeli.
Nimeona niilete kwenu wanajamvi mnipe maoni yenu.
Karibuni!