BAFA
JF-Expert Member
- Jul 19, 2011
- 3,059
- 5,927
Basi wampe hata mange kimambi (kiddin) unajua saa nyingine mi nawaona cdm kama hawana plan B sababu naamini sio kila kitu kulalamika kuonewa they must have alternative au hata contingency plan kwa kila walifanyalo hasa ktk dunia hii ya globalization
Salum Mwalimu ni Muislamu.