Tetesi: Press Conference ya Chadema haitakuwa "LIVE"

Kama kwa kumtukana huyo jamaa hakunizuii kwenda mbinguni ngoja nikusaidie.
Hana akili kabisa.
Iweje jambo la aibu namna hiyo alishabikie?
OMBI; Walioko humo warekodi neno kwa neno kisha tamko zima liwe mtandaoni na litawafikia wengi tuu. Nimewachukia sana wanaozuia hayo
ikishindikana,warekodi video clips na wazipandishe youtube!tosha kabisa hapo!frm there zitaenea tz nzima!
 
Kwa kweli inauma sana
TAARIFA KUHUSU PRESS CONFERENCE YA CHADEMA KUWA LIVE..

Binafsi nimeongea na mkuu wa Idara ya ya Habari na Mawasiliano CHADEMA Kamanda Tumaini Makene.

Ameniambia kwamba mpaka jana Saa 5usiku walikubaliana na CHANNEL TATU ZA TALEVISHENI kuonesha Mkutano wa CHADEMA na waandishi wa habari moja kwa Moja (LIVE) ikiwa ni pamoja na ITV NA AZAM.

Leo asubuhi ameambiwa na ITV kwamba hawataweza kurusha live Mkutano huo kwa sababu za kiufundi ambazo ziko juu ya uwezo wao......

AZAM TV nao wametoa taarifa kwamba hawataweza kurusha Mkutano huo Live kwa sababu vyombo vyao vimepelekwa Zanzibar ingawa jana walikubaliana na CHADEMA kurusha Mkutano Huo LIVE....

"Kutokana na hayo, imeshindikana kurusha Mkutano huo Live na kwa hiyo Chadema tutarekodi Mkutano huo na kurusha kipindi usiku au Jioni......... "Amemalizia Makene.

Binafsi nimesikitika Sana........

Daniel Ezekiel Daniel
 
Kuna taarifa nimekutana nazo mahali kuwa ingawa ITV na AZAM wali-confirm jana kuwa watarusha LIVE (Mubashara) Press Conference ya Chadema leo hii wametoa sababu kuwa hawataweza kufanya hivyo kama walivyokuwa wameahidi, ITV kwa upande wao wamedai mitambo yao ina matatizo kidogo kwahio hawataweza wakati AZAM wamesema wamepeleka mitambo yao Zanzibar (huenda kuna shughuli nyingine).

Bas tunaendelea kushukuru kwa kila figisufigisu! Tunachukulia majibu hayo positively kama ni kweli au ni uongo! Huenda kesho na baadhi ya magazeti yasiripoti kabisa, tusishangae.

Au CCM wanaogopa ile taarifa ya siri kuwa Makada wao wengi watakikimbia Chuma Chakavu kwenye Press hii??
Wadau, mimi naomba tu kuuliza, kwani huu mkutano wa chadema na waandishi wa habari ungeongeza value gani kwa kurushwa mubashara au utapunguza thamani kiasi gani kwa kurekodiwa?? Kwangu mimi contents is what counts no matter how and when it's given out and received. Kwa kuwa kutonyeshwa live hakutapunguza hoja mujarabu walizopanga kuliambia taifa basi warekodi na bado walengwa ujumbe utawafikia. Hata mh. JK mara kadhaa alizungumza na taifa kupitia recorded speeches na bado watu walimsikiliza. Ukinyimwa viatu, vaa hata kandambili
 
Kwa kweli ngachoka. Hata press inakuwa shida. Mwishowe watakimbia hata kivuli chao. Ila yana mwisho haya. Hakuna usawa.
 
Press Conference ilikuwa ya Dr. Slaa, hii ya Mafisadi inamchelewesha Magufuli kufanyakazi.
Alama nyingine za mnafiki hizi, CCM lini mtaacha unafiki? Hakuna dhambi mbaya kama UNAFIKI
 
Kuna taarifa zinasema televisheni zilizokua zirushe live mazimiyo ya kamati kuu ya chadema yamezuiliwa japo kua hayajaweka wazi na nani lakini hayatakuwa live tena.. wadadisi wa wambo wanasema nimwendelezo wa fgisu figisu za Demokrasia Tanzania

Zapa Radio tutaendelea kufwatilia hili na tutakuja na jibu

Kurusha live ni aghali. Hawa ni wafanya biashara wamepiga mahesabu wakaona the even is nit newsworthy. Watasikiliza vilaza wa UDOM na mabodaboda - wote hawana purchasing power - mada kuu kumtukanaDr Tulia. Uchaguzi wa JPM ulisikilizwa na kila mtu, hata Kikao cha Chadema Kamati Kuu kikasitishwa. Hapo ndiyo unaonyesha live kwa vile italipa vizuri. Sorry! WM
 
Nahisi uafisa habari mngempa hata Salum mwalim maana ana uzoefu wa habar anao hivi social media zote hzi na application site zote za akina YouTube mnashindwa kutumia kwann cdm hawako active Leo hamjui hata effect za social media kuleta were ness hamjui hata Arab spring imeanza wapk hebu wapeni kazi ya kusambaza habari watu wanaoenda sambamba na wakati.
 
Kwa kweli ngachoka. Hata press inakuwa shida. Mwishowe watakimbia hata kivuli chao. Ila yana mwisho haya. Hakuna usawa.
Press Conference tu wanakimbia hahahahahaa CCM bhana
 
Wadau, mimi naomba tu kuuliza, kwani huu mkutano wa chadema na waandishi wa habari ungeongeza value gani kwa kurushwa mubashara au utapunguza thamani kiasi gani kwa kurekodiwa?? Kwangu mimi contents is what counts no matter how and when it's given out and received. Kwa kuwa kutonyeshwa live hakutapunguza hoja mujarabu walizopanga kuliambia taifa basi warekodi na bado walengwa ujumbe utawafikia. Hata mh. JK mara kadhaa alizungumza na taifa kupitia recorded speeches na bado watu walimsikiliza. Ukinyimwa viatu, vaa hata kandambili
Kwanza nani akaye saa tano kuwaangalia Chadema? Ndiyo maana wanapata kura mijini tu hawa.vijijini watu bado wako mashambani na hata mijini saa tanoni mda mzuri sana wa kazi maofisini.
 
Nahisi uafisa habari mngempa hata Salum mwalim maana ana uzoefu wa habar anao hivi social media zote hzi na application site zote za akina YouTube mnashindwa kutumia kwann cdm hawako active Leo hamjui hata effect za social media kuleta were ness hamjui hata Arab spring imeanza wapk hebu wapeni kazi ya kusambaza habari watu wanaoenda sambamba na wakati.
Salum Mwalimu ni Muislamu.
 
Back
Top Bottom