Profesa
JF-Expert Member
- Oct 28, 2010
- 905
- 624
Niliwahi kusema hapa kwamba wanaomshauri raisi na kumuandikia Hotuba walikuwa wanaboa, kwakuwa hawakuwa hata wana-capture issues muhimu na kumfanya Raisi aongelee vuvumi na mambo ambayo mengine hayakupaswa kuzungumziwa na nafasi ya Uraisi. Niliongelea pia jinsi raisi anavyopresent ilivyokuwa inaboa.
Lets be realistic, tuache ushabiki wa kijinga, no matter how bad we felt about our president, binafsi niko so impressed na setup ya hotuba ya leo (Ya Mwisho wa Mwezi wa July 2012), from the audience aliyoihutubia mpaka jinsi alivyokuwa anazungumza. Ni tofauti na wakati mwingine maana kuna wakati nilifeel ni puppet inaongea it was o boring yeye kuongea na screen na si kuongea na watu. Well done Washauri wa kipindi hiki na well done president for thinking out of the Box. You have skipped so many unnecessary critiques. I even enjoyed the way you present your issues, in a very presentable meeting the language and expression of many. Nimefurahi sana jinsi ulivyokuwa unachambua ishu umeonekana hujakariri unajua unachoongea hasa na unavutia kama Raisi. Nawachukia waliokuwa wanakupotosha.
Hapa anaonyesha yeye siyo Raisi wa CCM kuongea na Wazee wa CCM ambao mda mwingi wanasinzia anapokuwa wanahutubia hotuba yake ya Masaa 3, na kuongea na Screen akiwa ameganda utadhani amekariri akiwa anateswa na taa za studio huku wakati mwingine machozi yakitaka kumtoka, ukizingatia na suti hadi jasho linakuwa linamtoka.
Hon President never go back to that situation.
Lets be realistic, tuache ushabiki wa kijinga, no matter how bad we felt about our president, binafsi niko so impressed na setup ya hotuba ya leo (Ya Mwisho wa Mwezi wa July 2012), from the audience aliyoihutubia mpaka jinsi alivyokuwa anazungumza. Ni tofauti na wakati mwingine maana kuna wakati nilifeel ni puppet inaongea it was o boring yeye kuongea na screen na si kuongea na watu. Well done Washauri wa kipindi hiki na well done president for thinking out of the Box. You have skipped so many unnecessary critiques. I even enjoyed the way you present your issues, in a very presentable meeting the language and expression of many. Nimefurahi sana jinsi ulivyokuwa unachambua ishu umeonekana hujakariri unajua unachoongea hasa na unavutia kama Raisi. Nawachukia waliokuwa wanakupotosha.
Hapa anaonyesha yeye siyo Raisi wa CCM kuongea na Wazee wa CCM ambao mda mwingi wanasinzia anapokuwa wanahutubia hotuba yake ya Masaa 3, na kuongea na Screen akiwa ameganda utadhani amekariri akiwa anateswa na taa za studio huku wakati mwingine machozi yakitaka kumtoka, ukizingatia na suti hadi jasho linakuwa linamtoka.
Hon President never go back to that situation.