President Paul Kagame responds to Jakaya Kikwete on FDRL comments 'utter nonsense'

Hatuhitaji kupigana na mtu kama Kagame, msisahau huyu bwana kajenga ile nchi kwa muda sasa paka imekua ya kupigiwa mfano, kwenye nyaja za elimu, Mazingira, uchumi na kilimo,anastahili pongezi na ushauri badala ya kumpiga, yeye ni mzalendo japo wengi wa viongoz wetu wana shida ya wizi na uchakachuaji...mimi namfagilia sana...
Ni kweli kuwa Wanyarwanda wamejenga nchi yao baada ya yale mauaji. Nchi nyingi zimepitia magumu kama hayo. tatizo la mafanikio ni kutoona nje ya wigo Naamini Rwanda wanatumia rasilimali zao nyingi kuzuia eventality ya FDLR kwani ni tishio halali kwa stawi wao. Je tunaweza kujifunza ktoka kwenye historia jibu si rahisi la sivyo amani ingetawala duniani. Swala la kuzungumza au la inategemea na nguvu ya adui yako. Inaelekea kwa sasa bado FDLR ina nguvu hivyo, kijeshi, si muda muafaka kuzngumza nao. ili iweje. Kiwete kama 'mwanajeshi' wa kweli angezungumza pembeni. Kwa upande mwingine labda Museveni alijua hilo kama mwenyekiti angetakiwa aseme maneno hayo. Kuepusha soo akachelewa na Vasco kupewa kiti akamwaga mboga na ugali. Kagame ajue aliyekuwa aseme hayo ni rafiki yake Museveni lakini kwa kutotaka ugomvi naye akampisha Kikwete !!!!!!! Viti vingine vya moto. it was a hot potatoe issue among the presidents who are supposed to say "the buck ends hier". Shame on them
 
NasDaz,
Kukiwa tu na amani ya kweli, uchaguzi wowote wa halali utawaondoa Watutsi madarakani na yeye kuishia ICC anakopapiga vita hivi sasa.
Hili ndilo tatizo la demokrasia ya kiafrika. Mursi ameiingiza nchi yake kwenye matatizo kwa kuwaondoa waliokuwapo na kuweka watu wake. Hatamu za kisiasa zisingilie uendshaji wa serikali kimuundo!! Je tukubali uoga huu kuongelea amani
 
fdlr na intarahamwe pamoja na watuts wote ni wanyarwanda. kagame ana roho mbaya sana na watusi wenzie
 
Sisi ni taifa kubwa na tunaweza kuweka kibaraka wetu Rwanda? Are you kidding me?

Dude this country is capable of many things that some of us do not know . I do believe if there is a little bit of consensus among members of our administration and security establishment, it will not be hard to root the guy out. The guy has many vulnerabilities, the worst of all creating enemies from within his circles.
 
Kikwete anaacha nyumba yake inaungua anakimbilia kuokoa ya jirani!

Kivipi? Nyumba yake inaungua wapi? au we ndio unaungua umetumwa na Dikteta kagame unakua kama hauelewi maana ya kua kiongozi. Kutoa ushauri kuna ubaya gani? Kagame anakua mnafki kwa sababu majeshi aliyoyapeleka Kongo ni yake na anaiba mali za wakongo hapo roho inamdunda JK akinyoosha maelezo na kumtoa Kongo hana chake, anashtaki wale wafuasi wanaojua siri zake wote anajifanya ye ndio mwema sana na wakati ye ndie aliyeongoza mauwaji ya kimbari angeacha vita watu wasingekufa Rwanda, madai alikua anatetea haki kumbe anazidisha mauaji..soma story nzima uelewe kabla ya kumlaumu JK na watanzania wote tupo ready kutetea nchi yetu na kumuunga mkono raisi wetu, hatuombi msamaha na haturudi nyuma, wakileta ujinga tuna enda fanya hybrid Rwanda watoto warembo wale waje wasafishe nyota zetu kama mh.Wasira angepata katoto ka kinyarwanda angetupa hybrid nzuri na kuteketeza mbaya.
 
Obama kaacha mengi kenya nao wamefura na sasa wanamuunga mkono rwanda uganda the same ta uganga sasa wiki mbili tu zmepita wameitanawenyewe kampala lakini jana wameitana tena mombasa kwa lugha ya kitoto wametusolo JAMANI WATANZANIA TUJIKITE SADC achana na hawa wendawazmu akina kagame aaaaaaaaaaaaaaaaaaaah:wave: tutumie akili
 
Kagame amelipuka zaidi anapofikiria Tanzania ni sehemu ya waliopeleka intervention Brigade.Tuunge Mkono JWTZ,ma-expansionist kama Kagame na Museveni ni hatari kwa stability na long lasting peace hapa ukanda wa maziwa makuu.

The muderous Dictator will not take this lightly. Kagame anatumia msamiati wa genocide kutafuta sympathy na kutaka watu wake wa-rally Behind huku ikijulikana kama alivyotoa ushahidi Jenerali Kayumba Nyamwasa kwamba yeye ndiye aliyeamuru ndege iliyowabeba marais wa Rwanda na Burundi itunguliwe na genocide ikaanza. Pia alitoa ushuhuda mahakamani huko SA kwamba Kagame ndiye aiyeamuru na kutekeleza mauaji ya Laurent Desire Kabila.

The bloody thirsty dictator is paranoid!
Duuu pengine huyu mduanzi ndio katumia nafasi hii aliyonayo sasa na jiwe kukuteka nini ?

Pole sana Ben

Sent using Jamii Forums mobile app
 
20 Reactions
Reply
Back
Top Bottom