Hakuna cha ushauri, wakati tumeshindwa kukaa na wanaMtwara meza moja kutatua tatizo la Gass. Viva Kagame
Akili yako inafikiri kinyume nyume! Huwezi acha kumlinda baba yako anapo shambuliwa na wakola kisa eti hajakupeni watoto wake mkate na siagi asubuhi!
Kwa hili niko na Raisi wangu Kikwete, nitaisapoti approach yake kwa mgogoro huo wa Rwanda!