Candid Scope
JF-Expert Member
- Nov 8, 2010
- 11,883
- 6,883
Baada ya kufokeana na wawakilishi wa wananchi kupitia Republican, jioni anapata faraja kukaa na familia kupoza machungu ya ofisi.
Hahahahaaa....hii siyo photo-op kweli?
Hahahahaaa....hii siyo photo-op kweli?
Baada ya kufokeana na wawakilishi wa wananchi kupitia Republican, jioni anapata faraja kukaa na familia kupoza machungu ya ofisi.
Hivi unafikiri watu wanpenda hizo nyumba ndogo kihivyo?tatizo mabinti wa siku hizi wakishawekwa ndani basi wao ni gubu tu kwenda mbele,sasa kuondoa kelele unarudi chicha unaaangusha gogo mpaka monii,akitaka kimoja chake unampatia basi!Inapendeza sana mara baada ya kazi unapata wasaa wa kupumzika na familia hata mara moja moja kama afanyavyo huyu mkuu Obama. Huku Bongo its a bit contrary, ukitoka ktk biashara zako au ofisini step ya kwanza ni kwenda kwenye grocery au kwenda nyumba ndogo.
Hajui aende wapi maana ana Mitala BalaaWa kwenu jioni anafanya nini?
Duh... Nimeipenda hii,sijui Baba Mwanaasha aliwahi ishi life hii na akiba Riz huko nyuma?manake kwa sasa ni bize na ligi ya ya hafla na MIWARSHA kibao,Mama UWAMA huku Baba ............ huko!!
Inapendeza sana mara baada ya kazi unapata wasaa wa kupumzika na familia hata mara moja moja kama afanyavyo huyu mkuu Obama. Huku Bongo its a bit contrary, ukitoka ktk biashara zako au ofisini step ya kwanza ni kwenda kwenye grocery au kwenda nyumba ndogo.
Anacheza na " wezi wa kuku" wapendao "mapaja" wasiotosheka na "vipapatio"Wa kwenu jioni anafanya nini?
Wengi watu sisi wanaume wa ki-bongo = Supu asbh kwa mrombooo- job- mchana nyama choma/kitimoto- jioni bar-kuangalia Mpira mpaka saa 6 usk then home. asbh ratiba hivyohivyo, familia may be siku huna hela.
...Wabongo hupata wasaa wakula na familia wakati wa sikukuu za Xmas, Pasaka na Idd, lakini wako baadhi wanajitahidi siku hizi.
Wenzetu wanajua ku balance life and work!