President Kikwete in New York with Mayor Bloomberg at UN

Pesa za wizi zilizofichwa Uswisi zinaweza kufanya mengi badala ya kudhalilishwa na misaada feki!
 
Baba Riz1 kaenda kutalii na kuombaomba tena?! Jamani!
Baba goigoi huyu! (mambo ya pwani).
Badala ya kulima shamba lake, kulipalilia, kulimwagilia na kulitia mbolea ili alivune yeye kila siku anahemea kwa majirani, AIBU!
Tz ni nchi ya asali na maziwa, tatizo Chama Cha Matatizo kimefubaa ubongo, wanajua kuiba na kungonoka tu!
Kuombaomba sio sifa, ni ugonjwa
Tumwambieje aelewe baba Riz1 jamani?! Fanya kazi kwa bidii, bana matumizi, kuombaomba kwa majirani ACHA!
 
Ni kujidhalilisha ana gas,oil na gold kibao anaenda kukinga dola 15.5m akirudi TZ full kujisifia
 
hizi ni kazi za kufanywa na mawaziri wa afya...to say the least.....alafu ifike mahali watanzania waanze kuhoji haya mambo....Rais mzima anawahadaa watanzania kwa kuwafanya waone anawaombea misaada wakati ukweli ni kwamba anatumia njia hii kupitisha deal zake za kuuza nchi....yaani hela inayoongelewa kwenye hii project hailingani kabisa na attention ya president wa nchi.....kitu kinachozua maswali mengi sana kwa watu makini...Mbaya zaidi anatumia fursa hizi za miradi ya afya.....na chakula....maana ndiko kwenye NGOs nyingi zinazotoa funds kwa vi nchi kama tz.....yaani mambo ya kufanywa na kina Dr.Mwinyi anayafanya yeye......wakati yale yanayohusu madaktari na wafanyakazi wengine wa afya tz anawaachia kina Mwinyi...what a hypocrite eh!!!!
 
hizi ni kazi za kufanywa na mawaziri wa afya...to say the least.....alafu ifike mahali watanzania waanze kuhoji haya mambo....Rais mzima anawahadaa watanzania kwa kuwafanya waone anawaombea misaada wakati ukweli ni kwamba anatumia njia hii kupitisha deal zake za kuuza nchi....yaani hela inayoongelewa kwenye hii project hailingani kabisa na attention ya president wa nchi.....kitu kinachozua maswali mengi sana kwa watu makini...Mbaya zaidi anatumia fursa hizi za miradi ya afya.....na chakula....maana ndiko kwenye NGOs nyingi zinazotoa funds kwa vi nchi kama tz.....yaani mambo ya kufanywa na kina Dr.Mwinyi anayafanya yeye......wakati yale yanayohusu madaktari na wafanyakazi wengine wa afya tz anawaachia kina Mwinyi...what a hypocrite eh!!!!


Nimeipenda sana hii point 'alafu ifike mahali Watanzania waanze kuhoji" Inabidi watu wote wenye mapenzi na ncxhi hii wahoji hizi safari za kila siku za rais na faida tunayoipata kama ni endelevu au ndio hivyo danganya toto. Hivi tukilinganisha na safari na marais wa nchi zinazotuzunguka ambazo kwao wametulia na wanasafari when necessary have his trips added any vale or have increased our underdevelopment. We need to put all these trips to scale and will see which one outweighs the other. Haya mambo ya kukaa kudanganyana kuwa kama sio safari zangu mgekuwa mnakula mchicha ni majibu mepesi kweny maswali magumu maana maisha tangu mwaka 2006 mpaka leo hii yamekuwa magumu kuliko wakati wote wa Tanzania huru. Kuna wengine wataleta porojo kuwa kwa sasa vitu vimesheneni madukani na television zipo hawa ni wa kuwabadilisha taratibu maana mtu apige hesabu vitu hivyo fanciful goods vimesaidiaje katika kuondoa ukali wa maisha? Wakati wa Mwalimu mikanda ilifungwa for a purpose ndio maana vikajengwa viwanda, vyuo, shule, hospitali na zahanati, miundo mbinu hasa ya umeme, reli na barabara.
 
hizi ni kazi za kufanywa na mawaziri wa afya...to say the least.....alafu ifike mahali watanzania waanze kuhoji haya mambo....Rais mzima anawahadaa watanzania kwa kuwafanya waone anawaombea misaada wakati ukweli ni kwamba anatumia njia hii kupitisha deal zake za kuuza nchi....yaani hela inayoongelewa kwenye hii project hailingani kabisa na attention ya president wa nchi.....kitu kinachozua maswali mengi sana kwa watu makini...Mbaya zaidi anatumia fursa hizi za miradi ya afya.....na chakula....maana ndiko kwenye NGOs nyingi zinazotoa funds kwa vi nchi kama tz.....yaani mambo ya kufanywa na kina Dr.Mwinyi anayafanya yeye......wakati yale yanayohusu madaktari na wafanyakazi wengine wa afya tz anawaachia kina Mwinyi...what a hypocrite eh!!!!

Mie naona mnamuonea tu, hivi mnategemea nini toka kwake. Si msubiri tu amalize ngwe yake akapumzike. Binafsi kichwa hakiniumi kwa huyu mtu. I do not expect anything valuable kutoka hapo. Watanzania tukome kuchagua viongozi bila kwanza kukaa chini na kupiga hesabu, tungefanya our part tusingekuwa na historia iliyopinda kama hii, honestly!
 
huyu mr. dhaifu anatudhalilisha sana, sasa hapo anaelewa kitu kweli?? maternal health na mtu anayezaa kila sketi ikimpitia karibu wapi na wapi?? huyu mzee atakuwa alidhaliliswa utotono sasa anataka kuprove watu kuwa yuko sawa while he is not.sasa huyo meya wa london si kama jerry slaa au yule walomweka magamba mwanza juzi kati, yaani rahisi anaona bonge la ishu kwenda kuongea na meya?? hivi kwanini alshabab hawatusaidii kumtungua huyu janga la kitaifa kama walivyomfanya saitoti?? hana faida nasi na wengi wamemchoka, binafsi nikisikia alshabab wamemlipua na bomu nitafanya bonge la sherehe, nitatumia savings zangu zote kualika mtaa mzima kula bata!!!
Kweli kabisa, hata mimi huwa natamani alqaeda wafanye mambo! Huyu kilaza anaudhi sana!
 
Kuna waziri wa afya si angeweza kufit tu hapo yeye akadeal na makubwa zaidi. Wamalawi wanamega nchi wewe tembea tu baba matokeom yake mtayasikia.
 
niiiiiiii aliyepiga picha na 50cent! mwenye ile picha tafadhali!
cacico .
x2_86970ba



Boys_ii_Men_with_Kikwete%5B1%5D.jpg
 
Tusichanganye kazi nzuri na malalamiko. Kazi nzuri inapotkea tuipe Big Up! halafu mengine yafanyiwe marekebisho. Juhudi za Mayor Bloomberg ni nzuri sana. Tumpongezeni na tuwe wenye shukrani kama Biblia inavyosema asiye shukuru kwa kidogo hata kikubwa hato shukuru.
 
Watanzania ufahamu wetu ni mdogo sana.Hivi tunamjua Bloomberg kweli,na tunajua philanthropies ni vitu gani.Laiti tungejua na kumjua, tusingekubali hata kula naye, let alone kupokea misaada yake.Ni bora kufa maskini.
Pongezi sana Mh. Rais Kikwete na Mayor Bloomberg kwa program hii nzuri itakayo saidia kina mama na watoto husan vijijini
 
1 Reactions
Reply
Back
Top Bottom