The Emils
JF-Expert Member
- Apr 16, 2011
- 568
- 124
na ataenda kwenye wilaya yake KIGAMBONI
haaa kumbe huyu jamaaa ana wilaya tena kisiwa kabisa
na ataenda kwenye wilaya yake KIGAMBONI
JK :we are going to win ze war againts HIV AIDs
JK :we are going to win ze war againts HIV AIDs
Uhusiano wa bush & kikwete ni zaidi ya uujuavyo!
One day yote tutayajua, kama tunavyojua sauv kuwa Richmond ilikuwa ya JK mwenyewe, JK is a joker.
Sina muda mchafu wa kumwangalia huyo Kilaza Jk.
Acha ugonjwa wa kupenda wewe!!!!!!.....unapenda mpaka mwizi wako.i like the man 'bush' much confident than kikwete!!
pale ocen road ni njanja ya nyani tu, anakuja kusign mkataba wa kununua kisiwa cha kigamboni.
Jk yupi au yule kigeugeu alivyowahadaa CMD kuwa hatosaini Sheria ya Katiba Mpya?JK kajitahidi leo katu-represent vyema sana.
Alshabab wako wapi waniondolee taka taka hiyo
Asimpapase wakati Jamaa yetu ni ze utamu.......Bush kamaliza kwa kumpapasa jamaa mgongoni kama kawaida yake.
wakuu!!
leo rais mstaafu wa marekani anawasili Tanzania. lakini cha kushangaza ziara hii imekuwa ni siri mno hakuna chombo cha habari hata kimoja kilicho tangaza hii ziara ya huyu muheshimiwa.
mimi ni mwanafunzi wa Muhimbili kwa sasa niko ocean road kwa clinical studies na inasemekana atakuja kutembelea leo hospitali ya ocean road.
kinacho nisikitisha ni kwamba hapa ocean road wagonjwa huwa wanalala nje kutokana na ukosefu wa vitanda na maanisha hata wodi hazitoshi. leo hakuna mgonjwa nje sasa sielewi wagonjwa wamepelekwa wapi. nachoona leo ni bendera za Tanzania tu na mauwa ndo yameshamiri huku ocean road.
je nini kilichomleta huyu rais mstaafu wa usa? au anekuja kuangalua maedeleo ya freemasons na ile miradi yake ya kigamboni?
naomba niwasilishe mwenye kujua zaidi kuhusu ziara ya siri ya huyu mueshimiwa atujuze.