Elections 2010 President Chakachuo

TzPride

JF-Expert Member
Nov 2, 2006
2,616
1,167
Jamani ninayo feelings mbaya kwamba huyu rais wa mchakachuo ataifikisha nchi pabaya hii miaka mitano. Sijui kwa nini najisikia vibaya hivi! Huyu jamaa ataacha nchi iko kweli hali mbaya ya ubaguzi wa kidini, ufisadi wa kufa mtu, makumdi ndani ya CCM na ukandamizwaji wa vyama vya siasa hasa CHADEMA.
Naanza kumchukia mwenyewe kama yeye.....Mungu nisaidie...I have a bad feeling on Chakachuo President.
 
yaani hilo liko obvious na hii ya jana ya CHADEMA kumsusia ndo imempagawisha kabisa ..sijui kama ataweza kulala kwa wiki yote hii
 
hahaahahhaa not only you have that fear...its all the 45%tht did not vote for him....
 
Back
Top Bottom