Inner circle ya Mheshimiwa, haitaki kumruhusu Makamu wake achukue nafasi ya Rais baada ya Mutharika kuwa incapacitated. Kama baya likitokea (kifo cha Bingu), basi tutarajie transition ambayo sina hakika kama itakuwa na usalama.
Katiba za nchi za Afrika zinawapa marais nguvu/mamlaka kubwa sana kiasi kwamba wanakuwa mungu-mtu matokeo yake akifa ghafla nchi inaweza kuingia kwenye matatizo makubwa. Urais kwa nchi za Afrika hauchukuliwi kama Institution, bali unachukuliwa kama ni mtu binafsi, which makes the person in power to be mungu-mtu na akitoka kila kitu kinasimama.
Sasa hapo Rais ni mahututi, lakini makamu wake haruhusiwi ku-handle anything at the same time Katiba hiyo hiyo inatamka kwamba Rais akiwa mahututi, makamu wake anachukua nafasi. Kwa sasa Rais yuko unconscious, ni sawa kwamba hayupo kabisa maana hawawezi hata kum-consult na hata akipata nafuu hawezi kuwa na akili timamu ya kufanya maamuzi. So, kama jamaa yuko hai, maamuzi yote yatasubiri mpaka apone kabisa au anaweza kutoa maamuzi akiwa mgonjwa hivyo hivyo, sasa kama ni maamuzi sahihi au mabaya, sijui watamlaumu nani?
Huyo Rais alivyokuwa Mbaya, alitesa hadi rais wa sasa wa Zambia na Unajua alifanya kazi World Bank; labda walimwekea sumu mkewe alikufa sasa akawa anapikiwa na watumishi wake...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.