KIFULUFUMBI
Member
- May 31, 2009
- 17
- 3
Jamani wana Jf mwenzenu sijapaona pa kuanza kutolea maoni yangu bila kwenda ya reply ni wapi.yaani pa kutolea mawazo mapya.Msaada tafadhali
Mwawado said:Jon inasemekana ndiye aliyeanzisha neno "YES WE CAN" na aliungana na Obama mara baada ya Hotuba ya Obama ya 2004 kwenye Democratic Convention,Jon alikuwa mfanyakazi kwenye kampeni ya Sen. John Kerry mwaka 2004 kabla ya kujiunga na Obama.
Jon kwa sasa ndiye Senior Speechwriter wa Obama na msaidizi wake ni Adam Frankel mwenye umri wa miaka 26.Historia ya White House inaonyesha pia Rais Jimmy Carter alikuwa na Speechwriter mwenye umri wa miaka 27 aliyejulikana kwa jina la James Fallows.
Mkuu Kui!...Nimekuona mahali unamzungumzia Makamba,naomba usimfananishe Makamba na Jon...Katika Umahili wao wa kuandika,Maana ukipenda "Chongo unaweza kuita Kengeza"
Obama ameudhirihishia ulimwengu kuwa yeye ni muungwana na akili anazo maana hili suala la ubaguzi wa kidini kuwa watu wanaoumia si viongozi na hawapati faida yeyote ingawa kwa upande wa pili Ugomvi mwingi wa nchi za ulaya na Asia ni kwa sababu ya maslahi ila Obama amesema kuwa yeye haoni haja ya kuendeleza vita na kusema ni vyema tukashirikiana kwa kila jambo. Pia Ugomvi wa Israel na Pakistani hautakoma kwa risasi na mabomu bali kuzungumza.
Toa maoni yako kama mpenda maendeleo na mwenye ufikiri mzuri.
Mwawado,
..tatizo ni kama Obama anaweza kuyatekeleza hayo aliyoyasema ktk hotuba.
..binafsi naamini waandishi wa Mkapa walikuwa na uwezo wa wa kuandaa hotuba yenye "viwango" kama hii aliyotoa Obama.
hahaha...kuna watu wajinga humu duniani! Ndo maana viongozi wanaweza kutawala through manipulation of a targetted group. Humans...never seize to amaze me!
And deep down, most wazungu ni racists sana! I see it everyday! Especially wazungu wakilewa wanaanza kuropoka the things they hold deep down inside their hearts. Nadhani ni waoga sana wa races nyingine! - yea...got that one out of my chest!
Nadhani ni waoga sana wa races nyingine! - yea...got that one out of my chest!
Wangekuwa wanaziogopa races nyingine wasingertawala Afrika, Asia, Mashariki ya mbali na mashariki ya kati. Wasingechukua watumwa kwa sababu wangeogopa...wasingetawala kwa mabavu Afrika kusini...kusingekuwa na Apartheid na Jim Crow...yaani hayo yote wangefyata mkia kwa sababu wanaziogopa races nyingine.
Waisrael wazungu?
hahaha. It's the fear that makes them want to dominate others. U suppress the group u fear, au hujui hilo?
That is not fear. Ingekuwa wana fear basi De Clerk asingemwachia Mandela. Wangekuwa wana fear leo hii tusingekuwa na taifa huru (kujitawala wenyewe, sort of). Wangekuwa wana fear Jim Crow ingekuwepo hadi leo hii. Wangekuwa wana fear O'Bummer asingekuwa raisi (kumbuka wazungu have waaay more that enough votes in America to keep the presidency white)....so what's your argument?
yaani tunakaa chini kujadili kavideo ka mayahudi walevi?
All in all hao jews walipewa maagizo na mungu wakajifanya kupindisha sasa wanakula laana ya mababu zao.
Kuna documentary flani niliwahi kuichek way back bbc, kama 1-2 years back, inaonesha hao jamaa walivyodata na kiwango kikubwa cha raia wake wanasumbuliwa na kiwango kikubwa cha anxiety na stress (dalili za laana). Halafu kuna mob kubwa ya vijana wake kwa waume, waliokimbia jeshi na hata wengine wa kada mbalimbali, wamekwenda mji flani huko india kuishi huko au kukutanika huko na wanasema wao hawataki kusikia ujinga wowote kuhusu usayuni.
sasa nyie ndio munaosema majews holy peOple wa mungu ....lol
imekuwaje tena leo hii wamelaniwa ...duh
mutarudi utumwani bila pingu wala kengele
nyie akina nani? Kwani wewe ni mtu wa shetani? Dugu usidandie treni kwa mbele..kama huna la kuongezea kwenye mada, kusoma wanachoandika wengine inaruhusiwa na ni uungwana na ustaarabu.