M.
It was such a hortatory speech
Hahaha. Some Arab newspapers were saying the man won't deliver but I'm not hearing any complaints thus far. The guy is a talented speaker though.
Kawaacha hoi.
Only repubs ndo wanaleta news zao zisozo na sense, they're against the speech halafu wanaongea ;pumba
Haters are every where. No matter what you do there are some people who find some thing to say.
Yaani kama ambavyo tunasema kuhusu JM
Some just have to pull it, even if it doesn't make sense
If they could just put a little more effort on themselves hata wao wange andikwa JF.
Mimi mwenyewe I'm working now on becoming a future leader lol. Nime choka kusoma tu wenzangu ngoja na mimi niwe topic of debate.
lol!.
Na wewe usiondoke na mwingine ukanicha kwenye mataa ukifika huko juu kama nilivochelewa kwa 'jamaa' mwenye topic...lol!
Nianze kuchombeza mapema, lakini mimi M wakikusema vibaya, nitawachapa! wote...
I almost posted a thread about Obama's speech.
Kama vile umeona mawazo yangu.
If it's different you can start it as a thread or if it's more or less like this one ilete tu tuunganishe.
Lol you can take the ride with me tena on the front sit. I'm yours to lose haha. Thanks for the support..
We can't deny the fact that he's very talented especially in his speeches. Unakumbuka hata Hillary ali complain kuwa jamaa atatoa speech tu, I think kwenye debates during the primaries. His speechwriter is very smart, that jon kid. Halafu he didn't go easy hata kwa israel alivosema no nation shall have nuclear power, ameelezea vizuri indirect mdahalo wa Iran/Israel wa kwa nini Israel wanazo lakini Iran wanazuiwa kuwanazo
... kwa israel alivosema no nation shall have nuclear power, ameelezea vizuri indirect mdahalo wa Iran/Israel wa kwa nini Israel wanazo lakini Iran wanazuiwa kuwanazo