Precission Air at cross roads!!

mambo mengine yanaelekezwa moja kwa moja kwa shirika lakini nao wana constraints ambazo zinawalimit kufanya kazi. Kwa mfano wanaenda kwenye baadhi ya viwanja mfano Bukoba ambapo wakati wa mvua sio rahisi kutua na inabidi wasubirie mpaka hali ya hewa iwe sawa. Wenyewe hawawezi kujenga ule uwanja maana mamalaka zingine ndizo zinahusika na hilo. Kwa maana hiyo kwenye network yao ndege moja ikilazimika kusubiria masaa matatu sababu ya kiwanja 'kibovu', impact yake ni kwenye operations nzima maana wakati wa bookings wanafuata ratiba zao but with the 'state of nature' mambo yanabadilika.
Cha msingi walekebishe na kuboresha pale wawezapo lakini ATC huenda wakakabili matatizo zaidi ya PrecisionAir. Ni suala la muda tu!
ninavyooongeaaaaaa na weewe WAMEFIKA SAA TISA WAMEAMBIWA NA NUSU;;ILIPOFIKA SAAAAAAAAA TISA NA NUSU WAKAAAAMBIWA KUMI KAMILI..ILPOFIKA KASOROBO WAKAAMBIWA NA DK KUMI..NDIO WAMEONDOKA NA ROBO..DADANGU AMEKUJA KAKIMBIA OFISI TOKA SAA SABA MASKINI KUFIKA NDIO HAYO ANAKUTANA NAYO..MBAYA ZAIDI WAKAKUTANA NA RAFIKI WAKE WA MOMBASA NAE ALIKUWA NA DLY KUANZIA SAA SABA..MMMH KAZI IPO HII NDIO PRECISSIONAIR YETU
Hata kama, PA si mjasilia mali anayepaswa kutetewa ati ni mzawa, wanakera na hawanautu, ni mateso kwa abiria kila siku, ni wazembe na wananyodo kupindukia.
Katika utoaji wa huduma kwa wateja, jitahidi kuruhusu malalamiko ili yakusaidie kuboresha. Kamwe usilaumu mtu kwa kukulalamikia, kumbuka kwamba ukiona lalamiko moja, kuna mengine 25 ambayo hayakutolewa.
Nilikuwa nasubiria ni nani atakuwa wa kwanza kutoa hoja yenye uzalendo! You are the first one, thanx very much for this mkuu!!! Katika biashara kuna ups and downs...but kuteleza si kuanguka!!!
 
Back
Top Bottom