Precission Air at cross roads!!

Sina uhakika sana na hizi taarifa na inaonekana ni maoni binafsi ya mtu kulingana na alivyoona
 
Nilikuwa nasubiria ni nani atakuwa wa kwanza kutoa hoja yenye uzalendo! You are the first one, thanx very much for this mkuu!!! Katika biashara kuna ups and downs...but kuteleza si kuanguka!!!
it is not a good spirit to entertain this negative attitude toward your (are you a Tanzanian by the way) fellow indigenous Tanzanian that are trying to stand as entrepreneurs, unless you are having an hidden agenda! To do any business in Tanzania is very challenging but these fellows have tried to show the way. Being 'Wachagga' to others sounds more better than teaming up with Chinese, South Africans etc!
What do you compare PrecisionAir with ...ATC?
 
Sina uhakika sana na hizi taarifa na inaonekana ni maoni binafsi ya mtu kulingana na alivyoona

Katika utoaji wa huduma kwa wateja, jitahidi kuruhusu malalamiko ili yakusaidie kuboresha. Kamwe usilaumu mtu kwa kukulalamikia, kumbuka kwamba ukiona lalamiko moja, kuna mengine 25 ambayo hayakutolewa.
 
msichezee mchagga, yeye yuko kwa ajili ya kusafirisha abiria tu. Mizigo yenu anaihifadhi nyumbani kwake kwa ajili ya upekuzi kudadadeki.

mtumishi tutake radhi wachaga ingawa atukuja dar kuangalia baahari
 
Leo asubuhi flight ya Zenji haikuwapo.........abiria wameambia watasafirishwa na flight ya saa 9..........lunch wapi? juu yako

ninavyooongeaaaaaa na weewe WAMEFIKA SAA TISA WAMEAMBIWA NA NUSU;;ILIPOFIKA SAAAAAAAAA TISA NA NUSU WAKAAAAMBIWA KUMI KAMILI..ILPOFIKA KASOROBO WAKAAMBIWA NA DK KUMI..NDIO WAMEONDOKA NA ROBO..DADANGU AMEKUJA KAKIMBIA OFISI TOKA SAA SABA MASKINI KUFIKA NDIO HAYO ANAKUTANA NAYO..MBAYA ZAIDI WAKAKUTANA NA RAFIKI WAKE WA MOMBASA NAE ALIKUWA NA DLY KUANZIA SAA SABA..MMMH KAZI IPO HII NDIO PRECISSIONAIR YETU
 
precission air strike again.....yaani hwa jamaa sijui lini watajifunza kuheshimu local flight...yaani hakuna ndege zinazo ahirishwa case studies ni nyingi sana kwa hawa jamaa....kuwa mteja wa precission ni kuwa mvumilivu na huna haraka kabisa.kama wapanda nyehunge.

lazima uwe mvumilivu kama umebeba mimba yake na hicho ndicho kinachofanyika kwa precissionair....tunaomba serikali wawezeshe atcl jamaani tuachane na haya maozo ozo ya kila siku
 
nilikuwa nasubiria ni nani atakuwa wa kwanza kutoa hoja yenye uzalendo! You are the first one, thanx very much for this mkuu!!! Katika biashara kuna ups and downs...but kuteleza si kuanguka!!!

hardwood
nenda kwenye website ya klm.swissair wote wamejitahdi kutokana na malalamiko kama haya na wameyafanyia kazi na zuri wameweka wazi watu kuweka mawazo yao na wao kutyafanyia kazi..so swala si kuharibu ni nini cha kufanya kurekebisha kwenye uharibfu..
 
Precission Air Strike again.....Yaani Hwa Jamaa Sijui lini Watajifunza Kuheshimu Local flight...Yaani Hakuna Ndege zinazo Ahirishwa case studies ni nyingi sana kwa hawa jamaa....kuwa mteja wa Precission ni kuwa mvumilivu na huna haraka kabisa.Kama wapanda Nyehunge.

kama nina jambo la muhimu huwa nakata ticket mabasi ya green star hapa nina uhakika wakufika dar kuliko kuwa na ticket ya precision, watutengenezee train yetu ya umeme
 
Hata kama, PA si mjasilia mali anayepaswa kutetewa ati ni mzawa, wanakera na hawanautu, ni mateso kwa abiria kila siku, ni wazembe na wananyodo kupindukia.
it is not a good spirit to entertain this negative attitude toward your (are you a Tanzanian by the way) fellow indigenous Tanzanian that are trying to stand as entrepreneurs, unless you are having an hidden agenda! To do any business in Tanzania is very challenging but these fellows have tried to show the way. Being 'Wachagga' to others sounds more better than teaming up with Chinese, South Africans etc!
What do you compare PrecisionAir with ...ATC?
 
Haya sema basi umetype nini hapo?
Ok, nimetype kwamba ninngelkubali prcision ipo kwenye cross road kama wange-quote wabongo zaidi kwani huyo mgeni alichosema si kipya na hivyo hatuwezi kuwa cross road simply because kasema mzungu

huko kwao kuko messier zaidi tu, with bad customer srrvice

KILICHONIKERA, IT IS REGRDED AS MESSY BECAUSE CLARE SAID, WAKATI AKINA KAMOTE, MASANJA, MBWILO TALK ABOUT IT ALWAYS
 
Precision Air inataka kufilisika. Inauza shares kwa mabango mpaka Kwa Mtogole Tandale ili ku raise capital kuinusuru. Lakini management ni ile ile na shares zake ni upatu.

Hapo bado hujaongelea usalama angani: Precision Air is a flying time bomb.
 
ok, nimetype kwamba ninngelkubali prcision ipo kwenye cross road kama wange-quote wabongo zaidi kwani huyo mgeni alichosema si kipya na hivyo hatuwezi kuwa cross road simply because kasema mzungu

huko kwao kuko messier zaidi tu, with bad customer srrvice

kilichonikera, it is regrded as messy because clare said, wakati akina kamote, masanja, mbwilo talk about it always

mkuu mtm/prm
kweli unasema kwasabbabu cameroon anataka wote africa tuwe mashoga akuna jipya kwa kuwa mashoga wamejazana magomeni tuendeleeee kuwa mashoga ooohh nooooooh br

kama mtu amekshtua matatizo yako jaribu kurekebisha ukisema ati sababu dadangu anajiuza basi namie nikajiuze afrikasana sio mifano mizuri..ukipata nafasi ya kurekebishwa makosa jitahdi ujirekebishe usisubiri cameroon akwambie sasa hivi vya bure basi kila mtu ale kwa nguvu zake la hasha unasoma nykati sasa kumbe nina madini, naitaji kupunguza kuomba misaada...jitahdi kuwashauri kama uko nao karibu..leo binafsi ilikuwa aibu kama uamini kaulize kama kuna mtu aliekaribia hata kwenda kuwasogolea abiria wa zanzibar na mombasa
 
Hata kama, PA si mjasilia mali anayepaswa kutetewa ati ni mzawa, wanakera na hawanautu, ni mateso kwa abiria kila siku, ni wazembe na wananyodo kupindukia.

labda nikusaidie gama precission wamekuwa na nyofdo sababu wafanyakazi wengi waliopo wameletwa na mjukuushangazi mtooto wa mjomba bila kuangalia shule walizonazo exp,na hililimeeleta matatizo sana sana sana unakuta hata mtu anamjibu abiria take my name i dont care whr you go,ujue ana kingunge kama sio jamaa liko juu linamtungua hii imekuwa ni shda sana saana kubadlika wanaitaji kubadlishwa hata huyo CEO wao wamemleta mkenya alipoanza kuonjenshwa nyama za watanzania akaanza kuiajiri ovyo kwa vijimemo na hii imemzalilisha sana mbaya zaidi ana uwezo wa kuwapitia dep moja bila kujijua siku mnajijua mko bar mnapigiwa simu na mtu mmoja hapo amepiga mmoja akakuta yuko busy anacheki ngoma ya pili
lazima kuwe na heshima ndio kampuni itaheshimka kama wakubwa wanakamata ma binti kama kile kipigio cha wachina kinachoua MBU unafikiri heshima itakuwepo
 
mkuu mtm/prm
kweli unasema kwasabbabu cameroon anataka wote africa tuwe mashoga akuna jipya kwa kuwa mashoga wamejazana magomeni tuendeleeee kuwa mashoga ooohh nooooooh br

kama mtu amekshtua matatizo yako jaribu kurekebisha ukisema ati sababu dadangu anajiuza basi namie nikajiuze afrikasana sio mifano mizuri..ukipata nafasi ya kurekebishwa makosa jitahdi ujirekebishe usisubiri cameroon akwambie sasa hivi vya bure basi kila mtu ale kwa nguvu zake la hasha unasoma nykati sasa kumbe nina madini, naitaji kupunguza kuomba misaada...jitahdi kuwashauri kama uko nao karibu..leo binafsi ilikuwa aibu kama uamini kaulize kama kuna mtu aliekaribia hata kwenda kuwasogolea abiria wa zanzibar na mombasa

I hear you bro... what irritate me, ni jinsi muwandishi wa ile habri alivyoiweka, totally neglect all the alarms that we have raised for years and quoting only huyo clare.... as if clare comes from heaven

baaaaaaaaaaaaaaas!!
 
I hate precion air,jnimekata tiket ya kuondoka jana toka Mtwara hadi Moshi nilipangiwa kuondoka Mtwara saa 9:10 niunagishe ndege ya Moshi saa 12:10 matokeo yake ndege imeahirishwa mala tatu tumeondoka saa 5:20 pm mtwara matokeo yake nikakosa ndege ya moshi wakatupeleka hotel wakatuambia tutaondoka saa 6:15am matokeo yake tumeondoka saa 7:30.Wanapobadiri mda hakuna taarifa yoyote mnayopewa ukipiga simu ofcn kwao hawapokei.Nafikiri wametosheka kipesa
 
i hear you bro... What irritate me, ni jinsi muwandishi wa ile habri alivyoiweka, totally neglect all the alarms that we have raised for years and quoting only huyo clare.... As if clare comes from heaven

baaaaaaaaaaaaaaas!!
ni kweli mkuu mtm
ila ukisoma sana waliotoa yaonekana walivumilia siku nyingi wamtoa ya moyoni..na sio clare tu kama umesoma wapo majina tofauti..nikupe mfano wa leo ndege ya zanzibar ya sbh imefutwa wakaambiwa saa tisa ukaja ukawaambia watu saa tisa na nusu ukaja saa tisa nusu ukasema kumi kasorobo ...ukaja usemi sababu just unaongeza muda kama sindano ya quinine,mwisho wanaondoka saa sakuminanusu..jua watu wa saa tisa wamekuja saa saba awajapewa lunch na tatizo sio lao lako...nendandege ya mombasa aibu tupuwatu wanaondoka wanasema awarudi tena tanzania sababu ya precission ingawa nilisema nani kawatuma wasipitie zambia kwenda mombasa...wanaitaji customerservice training wengi tu hilo alipingikli na viongozi wache kutetea ujinga sababu ya kutrembea na vile vibinti vyao
 
it is not a good spirit to entertain this negative attitude toward your (are you a Tanzanian by the way) fellow indigenous Tanzanian that are trying to stand as entrepreneurs, unless you are having an hidden agenda! To do any business in Tanzania is very challenging but these fellows have tried to show the way. Being 'Wachagga' to others sounds more better than teaming up with Chinese, South Africans etc!
What do you compare PrecisionAir with ...ATC?

Kuna umuhimu kwa serikali kuchukua hatua za haraka na makusudi juu ya kuwaelimisha wananchi kuhusu ununuaji wa hisa kwenye stock exchange. Hali ilivyo ni wazi kuwa soko hili la hisa linaweza kutumika kama njia ya kuwaibia wananchi fedha zao because of ignorance wengi wanadhani kununua hisa ni sawa nakuwa na savings account benki!!. Prospectus hizi zinavyotayarishwa ni kiujanjaujanja kampuni zionekane kuwa zinatengeneza faida kumbe zimejaa madeni matupu na wenye mali baada ya kurudisha mitaji yao mara nyingi wanawaacha wawekezaji solemba huku wao wakila kuku kwa mirija; mfano Kampuni ya TOL mpaka leo walionunua hisa hawajui kinachoendelea na hivi juzijuzi kampuni ya NICOL nayo hivyo hivyo. Nyie mlionunua hizi za precision Mungu awasaidie kwani mimi binafsi nilivyosoma ile prospectus yao haikunipa matumaini!! HopefullyI i shall be proved wrong!
 
its messy allover hata kwa akina clare, unannoinced delays, losses, harsh language, too many unexpected and hidden cost... U name it. I would only care if it was not clare

Watu wamepoteza mizigi sana na SAA na BA jamani mbona mnashindwa kuwa wazalendo!
 
Back
Top Bottom