bm21
JF-Expert Member
- May 12, 2008
- 774
- 33
Duh! Bora yamekataa kuingia ndani kuliko yangekataa kutoka nje wakati wa kutua!
......ha ha haaaaaaaaaaa mkuu unafurahisha sana. Anyway big up Pilots for saving lives.
Duh! Bora yamekataa kuingia ndani kuliko yangekataa kutoka nje wakati wa kutua!
kuna nyingine ya atc inapiga kelele kama DCM za mbagala...mara injini moja izimike mko angani mara iwake.....mkipata ajali rais anatoa salamu za rambi rambi mchezo umeisha....Mfumwa
Kwa kweli zinahitajika zifanyiwe matengenezo makubwa, mwaka jana nilitumia moja wapo ya ndege za Precision kuelekea kwenye jimbo langu la uchaguzi (Mwanza)....ndege ilkuwa na joto mle ndani utazani upo kwenye tanuru, nilikuwa na mtoto wangu wa kike akaniambia baba kwanini tusifungue madirisha....wahudumu walituambia nitatizo dogo kwenye mfumo wa hewa sijui kitu gani....hizi ni rasha rasha tusisubiri sunami!
Kosa la pilot ni nini? yeye kaona hatari na kurudisha ndege, sasa mlitaka nini? Watu wengine bwana unashindwa hata kuwaelewa!