Nyani Ngabu
Platinum Member
- May 15, 2006
- 92,216
- 113,519
hizi metafizikia ndio zinatuleta matatizo, ndio maana rushwa mmeipa majina mengi yanayoifanya isiwe presaisi, mara eti kuzunguka mbuyu, kupewa chai, kulainisha koo, kula mlungula ilhali rushwa ni rushwa tu!
Una bahati hujafundishwa na Senior manake yeye alikuwa anasahihisha hadi punctuation marks lol.