Precision air yakwama Mwanza

Mkuu kama wewe ni frequent flyier bila shaka unajua kuwa Precision Air kwa sasa wanaji handle wenyewe ikiwa ni pamoja na kutangaza chochote kihusucho ndege hiyo pamoja na delays- ina maana wamejivua kupata huduma zozote zile za Swissport na hivyo Swissport hawahusiki na upungufu wowote utokanao na hudumu zote zitolewazo na Precision.Precision ilianza vizuri sana lakini kwa sababu ya tamaa, na huenda siyo wao bali wabia wao KQ( Kenya Airways) kutaka kuchukua biashara kubwa ya usafiri wa anga basi wanajitanua hadi kuingia kwenye none-core business.Bado tutajionea mengi...hili ni dogo tu.

mkuu veracity
labda kwa taarifa zaidi,,hili swala la kujihandle...precission si sehemu ote kwenye sehemu za mizigo.....wana vtoroli tu lakini gari zinazovuta mizigo ni swissport...kwenye swalal la kutamka ama kufwatilia dly ni swissport...kule dep precission hawana mamlaka ya kwenda kutangaza muda wa dly labda mungu arudi...so ukisikia wamejihandle sio sehemu zote br,still swiss wana plypart.....
 
mkuu veracity
labda kwa taarifa zaidi,,hili swala la kujihandle...precission si sehemu ote kwenye sehemu za mizigo.....wana vtoroli tu lakini gari zinazovuta mizigo ni swissport...kwenye swalal la kutamka ama kufwatilia dly ni swissport...kule dep precission hawana mamlaka ya kwenda kutangaza muda wa dly labda mungu arudi...so ukisikia wamejihandle sio sehemu zote br,still swiss wana plypart.....
Mkuu mama mia nimeshuhudia Presicion jana wakijikanyagakanyaga KIA kwa vile waling'ang;ana kuji handle wenyewe.Pale wamepewa counter zao. wana staff wazito sana, schedules zao zilikuwa in disarray maana hawana uzoefu eneo hilo.Nilijaribu kuwauliza wenyewe na wakakiri kuwa kila kitu kuanzia passenger handling hadi kutangaza ni jukumu lao na siyo swissport tena.Ilikuwa kazi kwelikweli maana foleni zao zilikuwa hazisogei kabisa!
 
Mkuu mama mia nimeshuhudia Presicion jana wakijikanyagakanyaga KIA kwa vile waling'ang;ana kuji handle wenyewe.Pale wamepewa counter zao. wana staff wazito sana, schedules zao zilikuwa in disarray maana hawana uzoefu eneo hilo.Nilijaribu kuwauliza wenyewe na wakakiri kuwa kila kitu kuanzia passenger handling hadi kutangaza ni jukumu lao na siyo swissport tena.Ilikuwa kazi kwelikweli maana foleni zao zilikuwa hazisogei kabisa!

Mtoto huanza kukaa then hutambaa halafu husimama then kutembea kabla ya kuongea! Wapeni muda watatengamaa na kwa taarifa yenu by the time hao Sonangol wanakuja ATCL it will take them not less than 4 yrs ku-catch up na Precisionair! Unachezea watu kwenye fani? That's Tanzania's finest!
 
Back
Top Bottom