Chumbageni
Member
- Oct 27, 2010
- 94
- 23
Nimetumia Precisionair mara moja tuu kwenda Nairobi na kurudi. Wakati wa kurudi takeoff ilitakiwa saa 11.30 jioni lakini tukawekwa hadi saa 6.45 usiku!
nilitembea maduka ja Jomo Kenyatta nikiyamaliza na kupiga story na wafagiaji...wakaniambia Precision ndo zao hizo.Imagine hadi floor clearners wa airport wanajua how PW is messy.Never flying Precision again.
nilitembea maduka ja Jomo Kenyatta nikiyamaliza na kupiga story na wafagiaji...wakaniambia Precision ndo zao hizo.Imagine hadi floor clearners wa airport wanajua how PW is messy.Never flying Precision again.