Precision Air- Dala Dala

bullshit, andyway ndo tatizo la kutokuwa na ushindani, they do what they want
 
Jana tu KIA yametokea haya haya watu wameconfirm safari zao kuja Dar wanafika airport wanaambiwa ndege imejaa ikatokea pata shika pale hadi ikabidi wasafirishwe hadi nairobi ambao walipakiwa kwenye ndege ya PW 719 ambayo ilikuwa inatumika na KQ. Yaani Tanzania tunasikitisha!!

It is more tha kusikitisha. Yaani abiria washindwe kupakiwa kwenye ndege KIA wakatafutiwe usafiri nairobi??? Cry we a River!
 
Mtz,

Hii si makala ya kwanza kuhusu hili swala. Kuna jamaa aliandika hapa kuwa walishushwa Arusha (wakiwa tayari ndani ya ndege wamekaa kwenye viti) na Wazungu wakaingizwa kwenye ndege. Hapa lazima ufahamu kuwa huyo travel agent wa hilo kampuni lililokuwa libebe Wazungu, atakuwa mtu mmoja mzito sana ambaye hata Precion Air wanamuogopa. Hilo wala usitilie shaka na kama mtu haamini, afuatilie ajue Wazungu walikuwa wanashughilikiwa na nani safari yao. Sidhani kama Wazungu walipata wazo la kuhonga au kutumia vitisho ili wasafiri siku hiyo na nyie mbaki.

Miaka kadhaa nyuma, nasikia meli ilichelewa kuondoka Bukoba. Watu ndani wameshonana kama magunia. Wamekaa zaidi ya saa moja na mwisho wanaona Benzi linaingia na anashuka Waziri Rwegasira??? na mizigo yake. Walipoingia tu ndani ya meli, meli ikaondoka..........

Kuna watu ile Tanzania ni nchi yao na watafanya wanachokitaka bila kujali wala kuogopa. Sasa hata akina Precion Air wanakuwa wanawaogopa wenye nchi. Wakija na kutoa amri, basi hawana cha kusema. Sidhani kama wanafanya hivyo bila kujali kuharibu jina la Kampuni nakukimbiza wateja.

Yes ni kweli

Once Kigoma ilinitokea. agent wa precision Kigoma ndio anamiliki hoteli moja ya kitalii inayopata wateja wengi wa kitalii.

Abiria wanaokata ticket zao za return dar hawapewi kipaumbele no matter awe na ok au umeconfirm. Kwanza customer wa ile hotel ndo wanapewa priority then wanapewa 2nd prority waliokata ticket zao pale pale kwa agent wa mkoani.

Jamaa pembeni alinitonya na kunimbia kama una hela ya kukata ticket mpya utaondoka lakini hizo hela mlizoacha dar watawapiga dana dana.

kwa uzoefu ule nikipata safari nakata one way.Then c siku chache before kurudi nawapelekea manoti ma agent wa mkoani kukata ticket ya kurudi. Hiyo ni ADAPTATION
 
Habarini za mchana

Jamani mimi kuna kitu kinanitatiza, nashindwa hata kuelewa. Kwa kawaida mtu unapokata ticket ya ndege as RETURN TICKET si huwa inaandika unaondoka lini na kurejea lini?

Sasa nimekuwa nashangazwa na baadhi ya ndege eti unapofika huko uendako say unatoka DAR umekwenda MWZ ukitaka kurudi lazima ufanye confirmation. Nijuavyo mimi baada ya kusafiri ndani na nje ya nchi kama sikupiga simu kwa airline nina maana kuwa nitarudi as per schedule. Nways, nimeshaona hata ndege za nje zinazotaka confirmation uwe unarudi on the day au unabadili schedule yako... SIIKUBALI ila ndio hivo tena.

Sasa tatizo lililonifanya niandike ni kuwa baada ya kufika MWZ kwa shuguli za kikazi, nimekaa kule nikapeleka ticket siku 3 kabla ya safari kuconfirm kuwa narudi siku hiyo iliyoandikwa. Tulikuwa group wakatupa OK kuwa tutaondoka na ndege ya Precision Air ya saa 2.35 asubuhi.

Tunafika airport kucheck IN eti wanasema kati yetu kuna watu kadhaa hawakutakiwa kuondoka na ndege ya asubuhi wataondoka saa 8 mchana. Kwa kweli habari hiyo haikukaa vizuri masikioni. Baada ya kubishana kwa muda kwamba kwa nini watupe OK tulipoconfirm na kutupa hata ticket kuonyesha tutaondoka asubuhi kisha siku ya safari tuwe tumekatwa?

Ati wakasema ilikuwa ije ndege ya watu 72, tumebadilisha kwa hiyo inabidi mwende mchana. Hivi unawezaje kuamua tu kubadili ndege gafla wakati unajua una wasafiri zaidi ya idadi ya hiyo ndege uliyoileta? Tukaja kugundua kuwa kuna wazungu walikuja kuconfirm baadae wakaamua kuwaweka wao kama 20 hivi na kuamua randomly kukata waswahili oh wana connection Dar... aliyekwambia hao uliowakata hawana commitment huko waendako ni nani?

Kwa kweli Precision hiki mfanyacho si sawa. Ticket mnatutoza karibia laki 4 return kisha mnatunyanyasa kama tunapanda dala dala haiko sawa. Hapo hapo mnafika Dar mizigo imebaki Mwz hivi kwa nini mnashindwa kufanya kazi zenu sawa sawa

HALAFU TUNASHANGAA KWA NINI HATUENDELEI TANZANIA. hivi vitu vidogo vidogo vinatufanya tuonekane hopeless na tunaendeleza upuuzi ktk maamuzi yetu ya kila siku.

Jamani samahanini kwa habari ndefu ila iliniuma sana, na wenyewe niliwambia MWZ na hata hapa Dar. Na for me I guess I will never waste my time with your airline again.
Unajua airlines hasa katika kipindi hiko kigumu kinaathiriwa sana na 'no shows' ili kuthibitisha kama kweli hujabadili nia ya kusafiri siku hiyo iliyo kwenye tiketi yako inabidi ufanye hivyo vinginevyo ndege inaweza kuondoka na watu wachache kama wakitegemea hivyo ulivyofanya.
Siku hizi hiyo ndiyo standard practise.
 
mimi naamini ATC ni bora kuliko hiyo precission basi tu hawana ndege za kutosha
 
.......Kama precision air kuna mizengwe we jichukulie coastal air hawa mie naona huduma zao zipo poa.
 
Mtz halisi\

ndege nyingi hapa kwetu lazima u comfirm...kucomfirm sio kwamba ugomvi inakusaidia mwenyewe br
in case umecomfirm na ndege imejaa siku hiyo wanapewa priority walio na ok
sasa ndege aiweze kuacha abiria kwasababu ya kupiga simu kusema ok wati waweke siti ya mtz..ok una tkt kweli ya kurudi ukija kama wamepiga watu na wengine wakapewa ok kama huna mama yangu utaabaki kuangalia mabawa yakiruka na huna jinsi

sasa basi kama ni mgeni jitahidi itakusaidia mwenyewe;kama uamini kata hndege ya kigoma atcl uone moto wake kama uja comfirm hapo utajua umuhimu wa cormfimation
 
Mtz halisi\

ndege nyingi hapa kwetu lazima u comfirm...kucomfirm sio kwamba ugomvi inakusaidia mwenyewe br
in case umecomfirm na ndege imejaa siku hiyo wanapewa priority walio na ok
sasa ndege aiweze kuacha abiria kwasababu ya kupiga simu kusema ok wati waweke siti ya mtz..ok una tkt kweli ya kurudi ukija kama wamepiga watu na wengine wakapewa ok kama huna mama yangu utaabaki kuangalia mabawa yakiruka na huna jinsi

sasa basi kama ni mgeni jitahidi itakusaidia mwenyewe;kama uamini kata hndege ya kigoma atcl uone moto wake kama uja comfirm hapo utajua umuhimu wa cormfimation

Please soma nilivoandika hapo mwanzo kabisa
I said, we as a group confirmed 3 days prior siku ya safari na tukapewa OK plus tukapata na ticket kwa ajili ya safari siku ya safari

Kama kusafiri nimesafiri sana, ndani na nje ya nchi hakuna ugeni hapo
my concern was why get a confirmation and a ticket to show ni mmoja wa wasafiri kisha siku ya safari at the airport unaambiwa huwezi kwenda

BY THE WAY INGEKUWA SIJAPATA OK WASINGENISAFIRISHA NA HIYO NDEGE ON THE DAY. Thanks anyways
 
Mtz_Halisi, pole bwana. Mambo mawili lazima ujue precision wanajali saana waheshimiwa na wazungu kuliko sisi wabongo. Pili kwa kubaki peke yao wamekuwa na service mbovu sana. Sasa mimi ilitokea nilienda Arusha wakati wa kurudi nikawa na appointment ya Dar saa nane na nusu (meeting). Nafika Ar Airport naambiwa ndege inapita Zanzibar nikawauliza mbona ticket yangu haielezi kuwa ni via Zanzibar, jibu likawa toka siku nyingi ndo ilivyo. Sasa nikafikiria kama toka siku nyingi ndo isiandikwe kwenye tickect? harafu ofisi zao ukipiga simu huwa hazipokelewi kabisaa. Kwa mfano wakati niko Arusha nikawaomba hotel wanisaidie kuconfirm wakaniambia mtu wa ku confirm ameshaondoka nikasema piga simu uconfirm. Yule dada akaniambia precision huwa hawapokei simu hata upige siku nzima. kweli akajaribu simu haikupokelewa. Hivyo kuwa peke yao ndo inafanya service zao zinakuwa hovyo sana.
 
please soma nilivoandika hapo mwanzo kabisa
i said, we as a group confirmed 3 days prior siku ya safari na tukapewa ok plus tukapata na ticket kwa ajili ya safari siku ya safari

kama kusafiri nimesafiri sana, ndani na nje ya nchi hakuna ugeni hapo
my concern was why get a confirmation and a ticket to show ni mmoja wa wasafiri kisha siku ya safari at the airport unaambiwa huwezi kwenda

by the way ingekuwa sijapata ok wasingenisafirisha na hiyo ndege on the day. Thanks anyways


ndugu hili ni tatizo la tamaa

labda nielekeze kuna watu wanaitwa tlo sijui kirefu chake nilipata tatizo kama hilo..hawa wanafanya kazi ya kucheki abiria..ndugu ndege ikiwa imejaa wanaotangulia wanaambiwa awana ok..baadae anakufwata mtu anakwambia una sh kadhaa uende,uwezi amini uliowakuta unawaacha wanachukua namba za tkt zako wanaenda kuichek in anakuletea boarding pass...hii mchezo nimecheza sana na atcl tangu precission waache kwenda kigoma ,..ukienda airport kama una 30-50 alfu wanakuchukua no matter umekata leo ama sasahivi,..nilichelewa kazini nikaingia ndani nilpofika wakanikatalia nikaenda kwenye bench nikafwata na babu mmoja wa uniform za kampun ya ulinzi akaniambia nina ngapi niende..nkanziwa 50 nikawaomba na kweli nilikuwa na shida nikawapa 30..mwenzangu alichelewa na wengine wakawekwa pending..dk za mwisho akaja mwenzangu nikamwita askariakachukua namba za tkt akaenda kunletea boarding pass...huku watu wakilalama wamepewa ok tangu majuzi...so wakati mwingine wakubwa wa kampuni wajui uchafu unaofanyika airport ndio maana ukija wewe wanadai umechelewa.....niliwahi kutukanana sana na kijana mmoja wa atc nikwa nafanya mwanza ...nilipofika zimebaki dk 10 kufunga akadai nimecheelewa nikaambiwa na ssecurity nndege imejaa..nkamwambia nina ok...nikampigia david mattaka..nkamweleza sasa ni saa ngapi na huyu mpuuzi wako anasema muda umeisha nina ok .ninasafirije..akaongea nae mara nikaona yule kijana mmoja mfupi akiwa na kijana mmoja mpemba wakaanza kusemezana mara nikaona naulizwa tkt yangu...nikapewa boarding pass,..hii ni mmoja tu ya micherzo michafu inayofanywa na watu wa airport...

Pole sana so sion ajabu kuwepo na precission siku hiyo watakuwaw ameuza za watu wakaona potelea pote wakishika hela awaangalii nyuma
 
Mtz,

Hii si makala ya kwanza kuhusu hili swala. Kuna jamaa aliandika hapa kuwa walishushwa Arusha (wakiwa tayari ndani ya ndege wamekaa kwenye viti) na Wazungu wakaingizwa kwenye ndege. Hapa lazima ufahamu kuwa huyo travel agent wa hilo kampuni lililokuwa libebe Wazungu, atakuwa mtu mmoja mzito sana ambaye hata Precion Air wanamuogopa. Hilo wala usitilie shaka na kama mtu haamini, afuatilie ajue Wazungu walikuwa wanashughilikiwa na nani safari yao. Sidhani kama Wazungu walipata wazo la kuhonga au kutumia vitisho ili wasafiri siku hiyo na nyie mbaki.

Miaka kadhaa nyuma, nasikia meli ilichelewa kuondoka Bukoba. Watu ndani wameshonana kama magunia. Wamekaa zaidi ya saa moja na mwisho wanaona Benzi linaingia na anashuka Waziri Rwegasira??? na mizigo yake. Walipoingia tu ndani ya meli, meli ikaondoka..........

Kuna watu ile Tanzania ni nchi yao na watafanya wanachokitaka bila kujali wala kuogopa. Sasa hata akina Precion Air wanakuwa wanawaogopa wenye nchi. Wakija na kutoa amri, basi hawana cha kusema. Sidhani kama wanafanya hivyo bila kujali kuharibu jina la Kampuni nakukimbiza wateja.

Hii inanikumbusha miaka ya nyuma kidogo ktk uwanja wa KIA ATCL wliconfirm watu wengi zaidi ya uwezo wa ndege, ndipo bwana mmoja nafikiri ni big shot somewhere akagrab vile vileaf vinvyochanwa kweye ticket za abiria counter ambavyo baada ya ku-check in anakabidiwa rubani, na kuwaambia waendelee na safari, kwa kweli hapakutosha. Ilbidi wamchomoe abiria mmoja aliyecheck-in ili huyu bwana asafiri thhough if you look at it haikuwa fair kwa aliyerudishwa. We need to be serious
 
basi walijaribu kuuza yangu... ikagoma kuuzika... kwani nilibidi tu nisafiri on that very flight on the day

Thanks
 
Back
Top Bottom