"Pre-Form One" (???)

Sipo

JF-Expert Member
Jul 25, 2008
2,139
91
Hivi hizi pre form one hapa nchini kwetu maana yake ni nini? Kwamba kiwango cha elimu kimeshuka au watoto wetu na wadogo zetu siku hizi ni vilaza kiasi kwamba wanahitaji kuzi-activate hizo akilia zao kila wakati ili wasifeli.?

Nasema hivyo kwasababu wanafunzi wa darasa la saba wamehitimu darasa hilo wiki iliyopita lakini kesho tarhe 14 Septemba 2009 kuna wazzi wameshaanza kuwapeleka watoto wao kuanza Pre-form one

Kwanini watoto wasijengewe utamaduni wa kujiamini kuliko kuwa-overload uku kwa kuwaweka busy kilka wakati au uko wanakwenda kupumzika

Tukumbuke pia kuwa mtoto kufahamu kufanya kazi za nyumbani ni sehemu ya masomo na sio kumweka mtoto mezani na kwenye tuition centre kila wakati
 
Hivi hizi pre form one hapa nchini kwetu maana yake ni nini? Kwamba kiwango cha elimu kimeshuka au watoto wetu na wadogo zetu siku hizi ni vilaza kiasi kwamba wanahitaji kuzi-activate hizo akilia zao kila wakati ili wasifeli.?

Nasema hivyo kwasababu wanafunzi wa darasa la saba wamehitimu darasa hilo wiki iliyopita lakini kesho tarhe 14 Septemba 2009 kuna wazzi wameshaanza kuwapeleka watoto wao kuanza Pre-form one

Kwanini watoto wasijengewe utamaduni wa kujiamini kuliko kuwa-overload uku kwa kuwaweka busy kilka wakati au uko wanakwenda kupumzika

Tukumbuke pia kuwa mtoto kufahamu kufanya kazi za nyumbani ni sehemu ya masomo na sio kumweka mtoto mezani na kwenye tuition centre kila wakati


Sipo unakumbuka mambo ya enzi zileeee, wakati hata hakuna kitu kinachoitwa tuisheni, pre-unit, baby -class, middle-class na madude mngine meeeengi!

Kwa mtazamo wa haraka haraka utasema kwamba siku hizi hali ya uelewa wa watoto imeshuka, lakini kutokana na mabadiliko mengi ya kijamii na kiteknolojia, na ongezeko kubwa la watu, kumezaliwa mashindano makali sana ya fursa mbalimbali za maisha, likiwemo ndani suala la hizo pre-something.

Akili za watoto wa saa zinakuwa occupied na mambo mengi ya starehe na uhuni, mambo ya meseji za mapenzi, tv, tarakilishi etc.hivyo ni lazima mwisho wa siku mtoto huyu anatindikiwa upande fulani.
 
Sipo unakumbuka mambo ya enzi zileeee, wakati hata hakuna kitu kinachoitwa tuisheni, pre-unit, baby -class, middle-class na madude mngine meeeengi!

Kwa mtazamo wa haraka haraka utasema kwamba siku hizi hali ya uelewa wa watoto imeshuka, lakini kutokana na mabadiliko mengi ya kijamii na kiteknolojia, na ongezeko kubwa la watu, kumezaliwa mashindano makali sana ya fursa mbalimbali za maisha, likiwemo ndani suala la hizo pre-something.

Akili za watoto wa saa zinakuwa occupied na mambo mengi ya starehe na uhuni, mambo ya meseji za mapenzi, tv, tarakilishi etc.hivyo ni lazima mwisho wa siku mtoto huyu anatindikiwa upande fulani.
Kama ni hivyo basi ni afadhali wakashinde huko tuition tu. Nyumbani jamaa wanawanyemelea sana hawa (watoto wa kike) waliomaliza la saba. Pia wengine wengi wanachokifanya majumbani ni upuuzi mtupu. Kazi hawasaidii zaidi ya kuangalia tv na kujiingiza ktk vitendo vya kihuni vijiweni. Kwa upande mwingine watoto ni muhimu wapumzike ila mazingira ya sasa ndio taabu mtupu. Ukisema mtoto umemwacha home apumzike baada ya mitihani ndio unaambulia matatizo tu. Kabla matokeo ya mitihani utasikia binti ana uja uzito.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom