Sipo
JF-Expert Member
- Jul 25, 2008
- 2,139
- 91
Hivi hizi pre form one hapa nchini kwetu maana yake ni nini? Kwamba kiwango cha elimu kimeshuka au watoto wetu na wadogo zetu siku hizi ni vilaza kiasi kwamba wanahitaji kuzi-activate hizo akilia zao kila wakati ili wasifeli.?
Nasema hivyo kwasababu wanafunzi wa darasa la saba wamehitimu darasa hilo wiki iliyopita lakini kesho tarhe 14 Septemba 2009 kuna wazzi wameshaanza kuwapeleka watoto wao kuanza Pre-form one
Kwanini watoto wasijengewe utamaduni wa kujiamini kuliko kuwa-overload uku kwa kuwaweka busy kilka wakati au uko wanakwenda kupumzika
Tukumbuke pia kuwa mtoto kufahamu kufanya kazi za nyumbani ni sehemu ya masomo na sio kumweka mtoto mezani na kwenye tuition centre kila wakati
Nasema hivyo kwasababu wanafunzi wa darasa la saba wamehitimu darasa hilo wiki iliyopita lakini kesho tarhe 14 Septemba 2009 kuna wazzi wameshaanza kuwapeleka watoto wao kuanza Pre-form one
Kwanini watoto wasijengewe utamaduni wa kujiamini kuliko kuwa-overload uku kwa kuwaweka busy kilka wakati au uko wanakwenda kupumzika
Tukumbuke pia kuwa mtoto kufahamu kufanya kazi za nyumbani ni sehemu ya masomo na sio kumweka mtoto mezani na kwenye tuition centre kila wakati