Pr.Abdallah Safari SIIMSIKII

kidonge ki1

Member
Mar 1, 2012
15
3
Wana jamv kwanza nawasalim aman ya mungu wetu iwe juu yenu,hivi Pr.Abdallah mbona kama kitambo sikumsikia mwenye habari kuhusu yeye na nafasi aliyonayo ndani ya CDM naomba an fafanunulie n sehem ya kujua pia usichokijua JF
 
We vipi? Andika hivi( Mungu au MUNGU). Just point of usahihi. Swali lakini. Tuna haja ya kumsikia kila mtu? Unalenga nini hasa.
 
Wana jamv kwanza nawasalim aman ya mungu wetu iwe juu yenu,hivi Pr.Abdallah mbona kama kitambo sikumsikia mwenye habari kuhusu yeye na nafasi aliyonayo ndani ya CDM naomba an fafanunulie n sehem ya kujua pia usichokijua JF

Hatakiwi anatengeneza tu balance fulani ili chama chetu kisionekane ni cha udini...by the way anatakiwa kubeba mabegi ya maboss wake kama alivyofanya kawawa kwa nyerinyeri
 
Nadhani hamkunijibu TROPICAL n MPUI,na badala yake n kashfa dhid ya Pr.Abdallah unaposema yeye n mbebaji wa mabeg ya mabosi,na ukumbuke Abdallah ni Prof.na n mtu mwenye uwelewa mkubwa hvyo usimgeuze kama TOY kwa jinsi TROPICAL uwezo wako wakufikir ulipofikia,,wanajamv mwenye kuelewa achangie na wenye kashfa watulie,hapa ni sehem ya kujuzwa pia
 
Nadhani hamkunijibu TROPICAL n MPUI,na badala yake n kashfa dhid ya Pr.Abdallah unaposema yeye n mbebaji wa mabeg ya mabosi,na ukumbuke Abdallah ni Prof.na n mtu mwenye uwelewa mkubwa hvyo usimgeuze kama TOY kwa jinsi TROPICAL uwezo wako wakufikir ulipofikia,,wanajamv mwenye kuelewa achangie na wenye kashfa watulie,hapa ni sehem ya kujuzwa pia

Si utaona mkuu ataishia kubeba mabegi ya maboss wake kama kawawa kwa nyerinyeri; that is maximum they can offer him..akitaka kufurukuta atapewa yale majina yetu (mamluki, mdini, mnafiki etc) ili mradi asiseme abaki msaidizi; siyo yeye tu hata Zitto maximum they can offer ni Naibu katibu mkuu; zaidi ya hapo anahatarisha uanachama wake kwenye chama chetu..
 
Wana jamv kwanza nawasalim aman ya mungu wetu iwe juu yenu,hivi Pr.Abdallah mbona kama kitambo sikumsikia mwenye habari kuhusu yeye na nafasi aliyonayo ndani ya CDM naomba an fafanunulie n sehem ya kujua pia usichokijua JF

Chadema huwa haipendi watu kama prof safari,zitto mwenyewe wanaishi nae kwa tabu tabu
 
Nyie sikieni ushindi tu ndio mjue Prof safari yuko wapi ,unafikiri ni kupayuka payuka
 
Nyie sikieni ushindi tu ndio mjue Prof safari yuko wapi ,unafikiri ni kupayuka payuka

Leo na jana face book page za wachagga zote zinazungumzia ushindi wa arumeru,hiki chama hiki,tikitazame kwa jicho la tahadhari sana,hebu jaribuni kusearch fb page za kina masawe,siraki,lyimo,urio n.k mtaona
 
Si utaona mkuu ataishia kubeba mabegi ya maboss wake kama kawawa kwa nyerinyeri; that is maximum they can offer him..akitaka kufurukuta atapewa yale majina yetu (mamluki, mdini, mnafiki etc) ili mradi asiseme abaki msaidizi; siyo yeye tu hata Zitto maximum they can offer ni Naibu katibu mkuu; zaidi ya hapo anahatarisha uanachama wake kwenye chama chetu..

Alipokuwa CUF alikuwa anasikika?
Ama alisikika pale tu Maalim na Lipumba walipomchakachua pale alipotaka kuwaondolea tonge mdomoni
 
Hatakiwi anatengeneza tu balance fulani ili chama chetu kisionekane ni cha udini...by the way anatakiwa kubeba mabegi ya maboss wake kama alivyofanya kawawa kwa nyerinyeri


Mustapha Akoonay umewahi kumsikia?
 
Wana jamv kwanza nawasalim aman ya mungu wetu iwe juu yenu,hivi Pr.Abdallah mbona kama kitambo sikumsikia mwenye habari kuhusu yeye na nafasi aliyonayo ndani ya CDM naomba an fafanunulie n sehem ya kujua pia usichokijua JF

Kwisha habari yake... KWISHNEY
 
Kwasasa hv Prof.Safari yupo reserve akijipanga..,chadema kwa sasa hv wana vichwa vingi sana hawawezi kuwaweka wote uwanjani ni sawa sawa na timu ya mpira unapokuwa na wachezaji bora watupu ni lazima ujipange vizuri katika kuwatumia..,subirini mapigo yake..,anajipanga
 
Sasa kama nyie CDM nia yenu ni mtu wa kaskazini a.k.a "weusi" kuchukua nchi si mngebaki CCM mana nchi anaichukua Mzee wa shule za kata. Ndo nini kumdhalilisha Prof wa watu kwa kumpa ujumbe tu???
 
Back
Top Bottom