Speaker
JF-Expert Member
- Aug 12, 2010
- 6,324
- 2,238
PP=People principles
Hellow wana MMU.
Napenda katika series zangu za PP niongelee "M" ya kwanza kati ya herufi tatu za MMU
(Mahusiano,Mapenzi na Urafiki).Lengo ni kuongeza wigo wa discussions na kupeana maarifa ya jinsi
gani tuishi vyema na tutengeneze mahusiano mema katika jamii inayo tuzunguka.
Je tuko tayari kutengeneza mahusiano mema na wenzetu?yaani wazazi,marafiki,ndugu,jamaa, na
majiranii?
The lens principle ina elezea kwamba
"Jinsi ulivyo,ndivyo utakavyo waona wenzako".
Hapa ndipo safari ya mahusiano inapo anzia.Lazima utambue kwamba mtazamo wako
juu ya watu wengine unatoa picha jinsi gani wewe ulivyo.
Mtazamo wako wa kwanza kwa mtu flani una elezea una muona ni mtu wa aina gani kwako
na una elezea pia ni jinsi gani uta tengeneza mahusiano nae.
Mtu mmoja alikuwa akisafiri kuelekea jiji moja,alipo kuwa akipumzika hotelini alimuona
mzee nje pia,aka mfuata kutaka kujua jinsi "watu wa mji" walivo:
Mgeni: Watu wa mji huu wana tabia zipi kwa ujumla?
Mzee: Huko uliko toka wakoje kwani?
Mgeni: Wa ajabu sana,hawaaminiki kwa kila kitu,ni wavivu,vibaka,wachawi,kwa kifupi
ni wa ajabu sana.
Mzee: Basi,hata katika mji huu ndivyo utakavyo waona,maana wapo wa hivo hivo.
Mgeni mwingine alikuja pale hotelini,alipo uliza swali kama lile la kwanza mzee kama
kawaida akataka kujua huko anakotoka wako vipi.
Mgeni: Kule watu ni waaminifu,wakarimu pia kwa wageni.
Mzee:Karibu sana,ndivyo utakavyo waona hapa mjini,wapo kama hao.
Huyu mzee alikua na hekima sana,alijua kwamba jinsi unavyo walezea watu ndivyo ulivyo
wewe mwenyewe,na ndivyo utakavyo waona hata huko kwingine unako kwenda.
Haiwezekani wewe unaona mabaya tu ya mtu fulani,haiwezekani wewe uone mwenzako ni mtu
muovu tu,hakuna hata moja linalo kufurahisha toka kwake,.......Ukikutana na mtu kama huyo anaelezea
wenzake kwa "maneno machafu mwanzo mwisho,tambua kwamba hiyo ndiyo tabia yake."
Yule mzee alijua kwamba:
1.Kama wewe ni mwaminifu,utaamini wenzako.
2.Kama wewe ni critical,utawaona wenzako kuwa critical.
3.Kama wewe ni mkarimu,utaona ukarimu ndani ya wenzako.
4.Kama wewe ni mtu negative/positive,utaona negativity/positivity
peke yake toka kwa wenzako maana ndivyo ulivyo.
Je,wewe ni mtu wa kuangalia mambo hasi tu kwa wenzako au unaangalia mambo
chanya?
Una waonaje wenzako?
Hellow wana MMU.
Napenda katika series zangu za PP niongelee "M" ya kwanza kati ya herufi tatu za MMU
(Mahusiano,Mapenzi na Urafiki).Lengo ni kuongeza wigo wa discussions na kupeana maarifa ya jinsi
gani tuishi vyema na tutengeneze mahusiano mema katika jamii inayo tuzunguka.
Je tuko tayari kutengeneza mahusiano mema na wenzetu?yaani wazazi,marafiki,ndugu,jamaa, na
majiranii?
The lens principle ina elezea kwamba
"Jinsi ulivyo,ndivyo utakavyo waona wenzako".
Hapa ndipo safari ya mahusiano inapo anzia.Lazima utambue kwamba mtazamo wako
juu ya watu wengine unatoa picha jinsi gani wewe ulivyo.
Mtazamo wako wa kwanza kwa mtu flani una elezea una muona ni mtu wa aina gani kwako
na una elezea pia ni jinsi gani uta tengeneza mahusiano nae.
Mtu mmoja alikuwa akisafiri kuelekea jiji moja,alipo kuwa akipumzika hotelini alimuona
mzee nje pia,aka mfuata kutaka kujua jinsi "watu wa mji" walivo:
Mgeni: Watu wa mji huu wana tabia zipi kwa ujumla?
Mzee: Huko uliko toka wakoje kwani?
Mgeni: Wa ajabu sana,hawaaminiki kwa kila kitu,ni wavivu,vibaka,wachawi,kwa kifupi
ni wa ajabu sana.
Mzee: Basi,hata katika mji huu ndivyo utakavyo waona,maana wapo wa hivo hivo.
Mgeni mwingine alikuja pale hotelini,alipo uliza swali kama lile la kwanza mzee kama
kawaida akataka kujua huko anakotoka wako vipi.
Mgeni: Kule watu ni waaminifu,wakarimu pia kwa wageni.
Mzee:Karibu sana,ndivyo utakavyo waona hapa mjini,wapo kama hao.
Huyu mzee alikua na hekima sana,alijua kwamba jinsi unavyo walezea watu ndivyo ulivyo
wewe mwenyewe,na ndivyo utakavyo waona hata huko kwingine unako kwenda.
Haiwezekani wewe unaona mabaya tu ya mtu fulani,haiwezekani wewe uone mwenzako ni mtu
muovu tu,hakuna hata moja linalo kufurahisha toka kwake,.......Ukikutana na mtu kama huyo anaelezea
wenzake kwa "maneno machafu mwanzo mwisho,tambua kwamba hiyo ndiyo tabia yake."
Yule mzee alijua kwamba:
1.Kama wewe ni mwaminifu,utaamini wenzako.
2.Kama wewe ni critical,utawaona wenzako kuwa critical.
3.Kama wewe ni mkarimu,utaona ukarimu ndani ya wenzako.
4.Kama wewe ni mtu negative/positive,utaona negativity/positivity
peke yake toka kwa wenzako maana ndivyo ulivyo.
Je,wewe ni mtu wa kuangalia mambo hasi tu kwa wenzako au unaangalia mambo
chanya?
Una waonaje wenzako?