Si kuna tetesi kuwa eti ile dini aliyokuwa nayo tangu utotoni kaiacha sasa hivi anaitwa Khalfani
Ni husuda tu
Nakubaliana na wewe Mkuu , mada au thread nyingine, samahani lakini, zina kaujinga ndani yake .yaani kati ya watu wote walioko msibani umewaona membe na msuya tu? huyo mz msuya hapo umempandikiza tu lakini target yako ni membe. hiyo ni chokochoko a.k.a chuki binafsi. kila kukicha mnaanzisha mada kuh membe lakini wenye akili zao humu wanakupigeni makombora mpaka mnakoma. mnamtafuta membe toka kila pembe. mwacheni baba wa watu apumue. hana ma-scandal kama ya wengine wengi!
Nimependa BOOT la msuya ni kiatu cha ukweli na kiko ndani ya kalenda za kisasa...sio kama walivyo wengi wanavaa viatu vilivyopitwa na wakati... Hongera mzee Msuya fashion hazikupiti mbali...
kapwani lete thread zilizoenda shule nasio kusema watukumbe wewe wajua! Hapa tunauzwa tena kwa bei nafuu kabisa..bei ya jioni....anasaka kula !
mix with yours