Waziri wa mambo ya nje na ushirikiano wa kimataifa Benard Membe akiwa na waombolezaji katika msiba wa marehemu Sekou Toure ( CRDB Lumumba branch boss) nyumbani kwa marehemnu mtoni mtongani kijichi. Hapa wapo kwenye dua au sala kabla kuanza safari ya kwenda Kilimanjaro kwa mazishi.
..Mh Membe anajua analolifanya?
Mix with yours