The Emils
JF-Expert Member
- Apr 16, 2011
- 568
- 124
Leo Asubuhi ktk Clouds FM kipindi chao cha power breakfast..Gerarld anamwambia Pj..umeona ile cd ya xx ya South Africa kuhusu yule kijana wetu yule..Pj kamwambia bado halafu Gerald kamjibu kama anahitaji atamletea tena inauzwa Dar kwa shilingi 2000..Sasa wana Jf hawa kina Pj wameamua kuweka mambo hadharani yaliyotea BBA au?