TZ biashara
JF-Expert Member
- Mar 9, 2012
- 523
- 107
*******************
1.Battery gel battery: 12V / 7A
2. Small voltage Sockets:Battery gel battery: 12 v / 7 Ah
Small voltage Sockets:
a. 3 volt
b. 4.5 volt
c.-6 Volt
d. 9 volt
e. 12 volt
3. Car Socket 12 volts / 10 Ah
4. Schraubanschlusse 12 volt / l 5 Ah max. 2 min. Hii ni mashine ndogo ambayo inauwezo wa kuhifadhi umeme wa dharura kwa matumizi madogo.Matumizi yake ni kama kuweza ku-charge simu au laptop na hata pia inauwezo wa kuwasha taa vilevile lakini sio nyumba nzima ila kama ni chumba kimoja.Kwakuwa sio mtaalamu sana wa vitu hivi kwahiyo sina maelezo mengi sana lakini kwa hayo yataweza kufahamika.Nimeinunua uingereza na niliwahi kuitumia kwa kuijaribu mara moja tu na ilikaa kwa miaka miwili kwahiyo haina box lakini ni kizuri hakina tatizo.Naiuza pamoja na adaptor yake na ipo DAR na bei yake ni shs 120,000 na kwa mwenye kuhitaji tafadhali mpigie Habibu 0717810318.
1.Battery gel battery: 12V / 7A
2. Small voltage Sockets:Battery gel battery: 12 v / 7 Ah
Small voltage Sockets:
a. 3 volt
b. 4.5 volt
c.-6 Volt
d. 9 volt
e. 12 volt
3. Car Socket 12 volts / 10 Ah
4. Schraubanschlusse 12 volt / l 5 Ah max. 2 min. Hii ni mashine ndogo ambayo inauwezo wa kuhifadhi umeme wa dharura kwa matumizi madogo.Matumizi yake ni kama kuweza ku-charge simu au laptop na hata pia inauwezo wa kuwasha taa vilevile lakini sio nyumba nzima ila kama ni chumba kimoja.Kwakuwa sio mtaalamu sana wa vitu hivi kwahiyo sina maelezo mengi sana lakini kwa hayo yataweza kufahamika.Nimeinunua uingereza na niliwahi kuitumia kwa kuijaribu mara moja tu na ilikaa kwa miaka miwili kwahiyo haina box lakini ni kizuri hakina tatizo.Naiuza pamoja na adaptor yake na ipo DAR na bei yake ni shs 120,000 na kwa mwenye kuhitaji tafadhali mpigie Habibu 0717810318.