Judgement
JF-Expert Member
- Nov 13, 2011
- 10,327
- 4,779
Judge bana, sijaelewa lakini nimecheka.
Yaani nimemaanisha hadi ifikie mwanaume anabakwa huyo ni dabwada mdebwedo ! Ndiyo wale akina "KAKA JAMBAZI HUYU HATAKI KUN'NANIHII !" si unakijua kisa hicho ? Cha "kaka jambazi"