Sokomoko
JF-Expert Member
- Mar 29, 2008
- 1,915
- 127
Leo katika kipindi cha power breakfast kinachorushwa na redio ya clouds walimualika meneja wa mawasiliano wa bandari ndugu Mzirai ili kuongelea suala la magari yanayokwepa kodi kwa njia ya kuingizwa kama transit.
Tumewasikia ila mliyoyaongea ni utumbo na aibu kwa kamishna wa TRA. Utaratibu ni kwamba kuna kitengo kinachodeal na magari ya transit wanajukumu la escort magari yanayotoka nchini na ndio maana pia ya vituo vya TRA kama kile cha misugusugu. Ikiwa takwimu za TRA zinaonyesha magari yamevuka mipaka ya nchi halafu yanakuja kukamatwa mitaani tena magari 9000 hii ina maana vijana wa TRA wanakula mlungula wa maana! wanagongesha gari zimevuka kumbe zipo mijini zinapiga kazi! TRA wasifanye maamuzi yatakayofukuza wateja katika bandari yetu ila ideal na wafanyakazi wake tu naamini kila kitu kitaenda sawa. Wasiofaa wawajibishwe na kuwakumbatia ni ufisadi!
Tumewasikia ila mliyoyaongea ni utumbo na aibu kwa kamishna wa TRA. Utaratibu ni kwamba kuna kitengo kinachodeal na magari ya transit wanajukumu la escort magari yanayotoka nchini na ndio maana pia ya vituo vya TRA kama kile cha misugusugu. Ikiwa takwimu za TRA zinaonyesha magari yamevuka mipaka ya nchi halafu yanakuja kukamatwa mitaani tena magari 9000 hii ina maana vijana wa TRA wanakula mlungula wa maana! wanagongesha gari zimevuka kumbe zipo mijini zinapiga kazi! TRA wasifanye maamuzi yatakayofukuza wateja katika bandari yetu ila ideal na wafanyakazi wake tu naamini kila kitu kitaenda sawa. Wasiofaa wawajibishwe na kuwakumbatia ni ufisadi!