Poverty Elimination in Tanzania is a 'Result Oriented Business'

Ndahani,

Wakati mwingine uvivu wa watanzania na mazingira ya kazi. Chukua kima cha chini ambacho analipwa mfanyakazi wa serikali. Siwezi kumlaumu mfanyakazi yoyote anayepokea kima hiki kufanya kazi kwa uvivu. Je katika sekta ya umma wapo watu wangapi wenye kupokea mishahara hii? Wengi.

Zakumi,
Always it is a situation of what started between chicken and egg. Naamini serikali imejaza watu wengi....na asilimia kubwa ya waliomo ndani yake sijui wana uwezo na elimu ya kiasi gani! Kama wameelimika vema na wanakubaliana na hali hiyo, kwanini serikali ione haja ya kubadili hali ya mambo? Tukumbuke most of the good things in life come with a price...we earn them by our sweat and not favors. Mindset zetu leo ni kuwa twende serikalini tupokee mishahara midogo ila tupige deal kubwa kubwa!
Wanaochangia hali hiyo ni sisi wenyewe...kama leo atakuja kiongozi ambaye ataamua kupunguza ajira za maelfu ya watu wanaoenda ofisini bila kufanya kazi yoyote na ku modernize mambo mengi ili yaweze kufanywa na watu wachache wenye uwezo, efficiency itaongezeka.
Tujiulize kwanini wawekezaji wanaangalia sana structure za kampuni zao na wako radhi waajiri wasomi wachache na kuwalipa hela nyingi ila wanahakikisha wanawavuna kwa asilimia 100??
 
Zakumi, Always it is a situation of what started between chicken and egg. Naamini serikali imejaza watu wengi....na asilimia kubwa ya waliomo ndani yake sijui wana uwezo na elimu ya kiasi gani! Kama wameelimika vema na wanakubaliana na hali hiyo, kwanini serikali ione haja ya kubadili hali ya mambo? Tukumbuke most of the good things in life come with a price...we earn them by our sweat and not favors. Mindset zetu leo ni kuwa twende serikalini tupokee mishahara midogo ila tupige deal kubwa kubwa! Wanaochangia hali hiyo ni sisi wenyewe...kama leo atakuja kiongozi ambaye ataamua kupunguza ajira za maelfu ya watu wanaoenda ofisini bila kufanya kazi yoyote na ku modernize mambo mengi ili yaweze kufanywa na watu wachache wenye uwezo, efficiency itaongezeka. Tujiulize kwanini wawekezaji wanaangalia sana structure za kampuni zao na wako radhi waajiri wasomi wachache na kuwalipa hela nyingi ila wanahakikisha wanawavuna kwa asilimia 100??
Yes, it's a classic chicken and egg dilemma. But aren't we reached a point where we should say enough is enough. I believe we have reached that and we have a choice. Either we continue with the current trajectory or we change course. The country can't afford to have unqualified employees who don't perfom well, but wait for any opportunities to steal or corrupt.
 
Yes, it's a classic chicken and egg dilemma. But aren't we reached a point where we should say enough is enough. I believe we have reached that and we have a choice. Either we continue with the current trajectory or we change course. The country can't afford to have unqualified employees who don't perfom well, but wait for any opportunities to steal or corrupt.

The better way to enforce noticable changes is through strong leadership. We lack strong leadership. We lack the will to be part of the changes that we want...mindset zetu lazima zibadilike.
 
Zakumi,
Unajua mimi huwashangaa sana Wadanganyika wanapojaribu sana kuingia vichwani mwa watu ili kutoa tafsiri kutokana na matokeo (results) wakati wakitumia what they perseve or expected to happen.. Kilichotokea Tanzania mkuu wangu ni result oriented.. Walitaka iwe hivyo toka Azimio la zanzibar semamwewe na mimi ndio hatukufahamu. Hawa watu wametaka kufilisi wakijijengea wao mtaji wa kuanza Ubepari maana huko nyuma kiongozi alikuwa hana chochote sasa kuingia Ubepari na maana ya Ubepari ni wananchi kuendesha uchumi wa nchi wakajitenga na uongozi kuwa nao ni wananchi wapate kuendesha uchumi wakati huo huo bila kupoteza vyeo na nafasi zao za uongozi.

We created this monster, na leo kundi la walionacho ni viongozi wale wale waliokuwa wamelengwa kutajirika isipokuwa tunawaita sisi Mafisadi kwa sababu hatumo ktk kundi hilo na ndio maana wao hawaelewi tunapiga kelele kitu gani. Ikiwa tulitakiwa kubinafsisha mashirika ya umma sisi tukayafilisi (Liquidation) wakijiuzia wao viwanda, mashirika, mashamba na hadi nyumba nambie wametuachia kipi sisi wananchi wazalishaji kama sio kuajiriwa. Matatizo yote ya Tanzania are created makusudi ili wapate kufaidika wao toka umeme, maji na hata elimu na Afya wasivyokuwa na aibu..

Hii ilikuwa kugawana umaskini kwa kurithishana. na ilitazamwa nani mwenye kustahili kupewa kwa vigezo vya UTAJIRISHO. Hapo ndipo alipopigwa bao Mwalimu na wadanganyika wote. Kuna matajiri wa kuchora ambao wanaonekana wao matajiri kuficha jina la kiongozi ambaye ndiye mmliki wa mali hizo.. hasa wahindi wanatumiwa sana na huwezi kuwagusa, jiulize how come Mhindi mfanyabiashara anakuwa protected wakati ni fisadi mkubwa!.

Tofauti na China au India wenzetu waliweka mfumo tawala unaendeleza uzalishaji unaotafuta masoko na unatazama ushindani na hata kuunda sheria za marafiki for interest of the nation..Sisi as a nation hatuna interest wala ushuzi tunaendeshwa tu bora liende maana interest zinapangwa na viongozi na kwa viongozi. JK akisema nataka share ktk bomba la gas na madini, EL naye anataka mawasiliano, mwingine Bandari, Benki, usafiri na kadhalika maadam wote wanamegeana. Wewe fanya kufuatilia viwanda, mashamba na mashirika yote ya Umma kwa undani wake utaelewa kilichofanyika.

Hivi kweli unaamini reli yetu ya kati ni ya kutoweza kukarabatiwa kwa zaidi ya miaka 10 inakufa tukiitazama?. Sababu ni viongozi wetu ndio wenye malori ya mizigo na wameshika bandari na sehemu dry dock storage ambazo zinawaingizia mabillioni. Safari moja ya treni inaweza kuchukua mzigo wa malori 200 kwa safari moja tu, Hivyo reli ikitengenezwa hayo malori yao yatapata kazi wapi?..Hizo dry dock zitaweza vipi kuwazingua watu walipie mizigo ambayo haitaweza kukaa kwa kukosa usafiri maana treni litachukua mali za nje moja kwa moja toka Bandarini..Kwa hiuyo everything is planned na results oriented.. ATC haikufa bure, TRA na Tanesco wanaivutia pumzi tu iko ICU anyday zitakufa halafu utaona miradi ya umeme wa upepo na solar wakiingiza wenyewe.
 
Zakumi,
Unajua mimi huwashangaa sana Wadanganyika wanapojaribu sana kuingia vichwani mwa watu ili kutoa tafsiri kutokana na matokeo (results) wakati wakitumia whjat they did expect themselve to happen.. Kilichotokea Tanzania mkuu wangu ni result oriented.. Walitaka iwe hivyo toka Azimio la zanzibar semamwewe na mimi ndio hatukufahamu. Hawa watu wametaka kufilisi wakijijengea wao mtaji wa kuanza Ubepari maana huko nyuma kiongozi alikuwa hana chochote sasa kuingia Ubepari na maana ya Ubepari ni wananchi kuendesha uchumi wa nchi wakajitenga na uongozi kuwa nao ni wananchi na wapate kuendesha uchumi wakati huo huo bila kupoteza vyeo na nafasi zao..

We created this monster, na leo kundi la walionacho ni viongozi wale wale waliokuwa wamelengwa kutajirika isipokuwa tunawaita sisi Mafisadi kwa sababu hatumo ktk kundi hilo na ndio maana wao hawaelewi tunapiga kelele kitu gani. Ikiwa tulitakiwa kubinafsisha mashirika ya umma sisi tukayafilisi (Liquidation) wakijiuzia wao viwanda, mashirika, mashamba na hadi nyumba nambie wametuachia kipi sisi wananchi wazalishaji kama sio kuajiriwa.

Hii ilikuwa kugawana umaskini kwa kurithishana. na ilitazamwa nani mwenye kustahili kupewa kwa vigezo vya UTAJIRISHO. Hapo ndipo alipopigwa bao Mwalimu na wadanganyika wote. Kuna matajiri wa kuchora ambao wanaonekana wao matajiri kuficha jina la kiongozi ambaye ndiye mmliki wa mali hizo.. hasa wahindi wanatumiwa sana na huwezi kuwagusa, jiulize how come Mhindi mfanyabiashara anakuwa protected wakati ni fisadi mkubwa!.

Tofauti na China au India wenzetu waliweka mfumo tawala unaendeleza uzalishaji unaotafuta masoko na unatazama ushindani na hata kuunda sheria za marafiki for interest of the nation..Sisi as a nation hatuna interest wala ushuzi tunaendeshwa tu bora liende maana interest zinapangwa na viongozi na kwa viongozi. JK akisema nataka share ktk bomba la gas na madini, EL naye anataka mawasiliano, mwingine Bandari, Benki, usafiri na kadhalika maadam wote wanamegeana. Wewe fanya kufuatilia viwanda, mashamba na mashirika yote ya Umma kwa undani wake utaelewa kilichofanyika.

Hivi kweli unaamini reli yetu ya kati ni ya kutoweza kukarabatiwa kwa zaidi ya miaka 10 inakufa tukiitazama?. Sababu viongozi wetu ndio wenye maliri ya mizigo..Safari moja ya treni inaweza kuchukua malori mzigo wa 200 kwa mara moja.. reli ikitengenezwa hayo malori yao yatapata kazi wapi?..Kwa hiuyo everything is planned na results oriented.. ATC haikufa bure, TRA na Tanesco wanaivutia pumzi tu iko ICU anyday zitakufa halafu utaona miradi ya umeme wa upepo na solar wakiingiza wenyewe.

Umesema kweli Mkandara. Hakuna kitakachosalia kwa speed hii. It doesnt cross my mind reli ya kati kwanini inshindwa kufanya kazi?
 
Umesema kweli Mkandara. Hakuna kitakachosalia kwa speed hii. It doesnt cross my mind reli ya kati kwanini inshindwa kufanya kazi?
Unakumbuka enzi za Daladala na kifo cha UDA? kina nani walikuwa na mtaji wa kununua daldala enzi hizo Usd 16,000 kwa moja.. taratibu Uda ikafa na tunaendelea na daladala leo miaka 28 wametoka huko kwenye daladala sasa tunawasikia na habari za Dar Express, sio mali ya serikali ila mfanyabiashara.. Nani hatumjui hadi leo.
 
The better way to enforce noticable changes is through strong leadership. We lack strong leadership. We lack the will to be part of the changes that we want...mindset zetu lazima zibadilike.

Ndahani,

I hear you and admit that we don't have a strong leadership. However, strong leadership comes in many facets. Some leaders are strong activists and don't compromise their principles when it comes to social issues. However, they fall flat when it comes to the execution of development strategies. In the past 50 years of our existence as a nation we have experienced some sorts of this type of leadership.

However, in today's environment, personally I prefer another strain of strong leadership. I will prefer good planners and executives.
 
Zakumi,
Unajua mimi huwashangaa sana Wadanganyika wanapojaribu sana kuingia vichwani mwa watu ili kutoa tafsiri kutokana na matokeo (results) wakati wakitumia what they perseve or expected to happen.. Kilichotokea Tanzania mkuu wangu ni result oriented.. Walitaka iwe hivyo toka Azimio la zanzibar semamwewe na mimi ndio hatukufahamu. Hawa watu wametaka kufilisi wakijijengea wao mtaji wa kuanza Ubepari maana huko nyuma kiongozi alikuwa hana chochote sasa kuingia Ubepari na maana ya Ubepari ni wananchi kuendesha uchumi wa nchi wakajitenga na uongozi kuwa nao ni wananchi wapate kuendesha uchumi wakati huo huo bila kupoteza vyeo na nafasi zao za uongozi.

We created this monster, na leo kundi la walionacho ni viongozi wale wale waliokuwa wamelengwa kutajirika isipokuwa tunawaita sisi Mafisadi kwa sababu hatumo ktk kundi hilo na ndio maana wao hawaelewi tunapiga kelele kitu gani. Ikiwa tulitakiwa kubinafsisha mashirika ya umma sisi tukayafilisi (Liquidation) wakijiuzia wao viwanda, mashirika, mashamba na hadi nyumba nambie wametuachia kipi sisi wananchi wazalishaji kama sio kuajiriwa. Matatizo yote ya Tanzania are created makusudi ili wapate kufaidika wao toka umeme, maji na hata elimu na Afya wasivyokuwa na aibu..

Hii ilikuwa kugawana umaskini kwa kurithishana. na ilitazamwa nani mwenye kustahili kupewa kwa vigezo vya UTAJIRISHO. Hapo ndipo alipopigwa bao Mwalimu na wadanganyika wote. Kuna matajiri wa kuchora ambao wanaonekana wao matajiri kuficha jina la kiongozi ambaye ndiye mmliki wa mali hizo.. hasa wahindi wanatumiwa sana na huwezi kuwagusa, jiulize how come Mhindi mfanyabiashara anakuwa protected wakati ni fisadi mkubwa!.

Tofauti na China au India wenzetu waliweka mfumo tawala unaendeleza uzalishaji unaotafuta masoko na unatazama ushindani na hata kuunda sheria za marafiki for interest of the nation..Sisi as a nation hatuna interest wala ushuzi tunaendeshwa tu bora liende maana interest zinapangwa na viongozi na kwa viongozi. JK akisema nataka share ktk bomba la gas na madini, EL naye anataka mawasiliano, mwingine Bandari, Benki, usafiri na kadhalika maadam wote wanamegeana. Wewe fanya kufuatilia viwanda, mashamba na mashirika yote ya Umma kwa undani wake utaelewa kilichofanyika.

Hivi kweli unaamini reli yetu ya kati ni ya kutoweza kukarabatiwa kwa zaidi ya miaka 10 inakufa tukiitazama?. Sababu ni viongozi wetu ndio wenye malori ya mizigo na wameshika bandari na sehemu dry dock storage ambazo zinawaingizia mabillioni. Safari moja ya treni inaweza kuchukua mzigo wa malori 200 kwa safari moja tu, Hivyo reli ikitengenezwa hayo malori yao yatapata kazi wapi?..Hizo dry dock zitaweza vipi kuwazingua watu walipie mizigo ambayo haitaweza kukaa kwa kukosa usafiri maana treni litachukua mali za nje moja kwa moja toka Bandarini..Kwa hiuyo everything is planned na results oriented.. ATC haikufa bure, TRA na Tanesco wanaivutia pumzi tu iko ICU anyday zitakufa halafu utaona miradi ya umeme wa upepo na solar wakiingiza wenyewe.

Mkandara,

Ninakusikia unachosema. Lakini naomba unielewe kitu kimoja. In this thread I have toned down my political rethorics. This is because Tanzanians have tried both extremies of political spectrum with little success. And I believe our failure should spark a soul searching process.

Kama mtendaji huyohuyo unampa mtaji wakati wa Ujamaa na akashindwa. Unampa wakati wa soko uria akashindwa. Basi matatizo sio ya kiitikadi. Matatizo ni mindset ya mtu.
 
Unakumbuka enzi za Daladala na kifo cha UDA? kina nani walikuwa na mtaji wa kununua daldala enzi hizo Usd 16,000 kwa moja.. taratibu Uda ikafa na tunaendelea na daladala leo miaka 28 wametoka huko kwenye daladala sasa tunawasikia na habari za Dar Express, sio mali ya serikali ila mfanyabiashara.. Nani hatumjui hadi leo.

The story does not end up there...I wish the same people could define the limits of how far the mess they create could go. My worry though is the kind of destruction that the system of favored few would bring soon or later. Ndio maana wenyewe hawataki kutusikia tukisema kuwa mambo si shwari. Na kusema kweli jana nilishituka sana uliposema inawezekana hata TRA nayo ikaingia ICU....maana leo hii katika gazeti la Daily news Kitilya anasema he is worried by tax exemptions. The figures are shocking and highest in East Africa.
 
Mkandara,

Ninakusikia unachosema. Lakini naomba unielewe kitu kimoja. In this thread I have toned down my political rethorics. This is because Tanzanians have tried both extremies of political spectrum with little success. And I believe our failure should spark a soul searching process.

Kama mtendaji huyohuyo unampa mtaji wakati wa Ujamaa na akashindwa. Unampa wakati wa soko uria akashindwa. Basi matatizo sio ya kiitikadi. Matatizo ni mindset ya mtu.

Zakumi,
Kweli kama Taifa tulipofikia sasa, tunahitaji kufanyia kazi nafsi zetu. Mambo si mambo tena.
 
Zakumi, ninaomba kuisahihisha sentensi yako ya mwisho badala ya kusomeka hivi "Kwa kutumia mifano hii, inaonyesha safari ya China na Tanzania ni tofauti japokuwa nchi hizi mbili ziliwahi kufuata siasa zinazofanana."
isomeke hivi
"Kwa kutumia mifano hii, ni dhahiri Tanzania inaweza kujifunza kwa China na hili linawezekana kama tukipata kiongozi mwenye maono na mwenye uwezo wa kuwaambukiza wananchi wengi hayo maono yake"
Napenda kusisitiza kuwa kiongozi ana mchango mkubwa mno katika mafanikio au kushindwa kwa shughuli yoyote, Steve Jobs alipofukuzwa Apple baada ya kutofautiana na wenzake kampuni iliyomba na kupoteza mwelekeo ambao wenzake walidhani wangeweza kufanikisha ndoto zake bila yeye kuwepo, wakamrudisha na leo Apple Computers ni miongoni mwa makampuni ambayo Wachina wameshindwa kuiga bidhaa zake, hata ukiangalia mataifa kama Marekani utaona kabisa kuwa bila kuwa na watu kama John F Kennedy, huenda Marekani ya leo isingelikuwa taifa lenye kuheshimika kama Taifa kubwa la kidemokrasia.
Mifano ni mingi lakini ninachotaka kusema ni kuwa Mungu akimuinua Musa wetu, tunaweza kutoka utumwani kama ambavyo Mungu aliwainua Musa na Joshua kuwaongoza wana wa Israel kutoka utumwani Misri, naamini kuna siku Musa wetu atainuliwa!
 
Mkandara,

Ninakusikia unachosema. Lakini naomba unielewe kitu kimoja. In this thread I have toned down my political rethorics. This is because Tanzanians have tried both extremies of political spectrum with little success. And I believe our failure should spark a soul searching process.

Kama mtendaji huyohuyo unampa mtaji wakati wa Ujamaa na akashindwa. Unampa wakati wa soko uria akashindwa. Basi matatizo sio ya kiitikadi. Matatizo ni mindset ya mtu.
Hapa kidogo bado sikubaliani kwa sababu Nyerere hakushindwa yeye bali Siasa ya Ujamaa ambayo seriikali ilihodhi njia za Uchumi ndio yalikuwa makosa, walishindwa China, Urusi na sehemu nyingine zote zilizotumia serikali yao kuendesha biashara na Uchumi wa nchi, hivyo halikuwa swala la viongozi bali kimfumo, lakini tofauti inakuja pale tulipoamua kurekebisha makosa hayo viongozi wetu pia wali shift pande na kutaka wawe wafanyabiashara at the same time wakiongoza nchi. Makosa yalikuwa:-
1. Kuondoa Miiko na maadili ya viongozi.
2. Kubinafsisha kwa malengo ya kufilisi mashirika yetu. (kugawana umaskini)
3. Kuundwa kwa vyama vingi hakukutokana na tofauti za kiitikadi, watu na mazingira ya kiuchumi.
4. Tuliondoa Uzalendo kwa Wananchi na kulifanya Taifa letu uwanja wa fisi (mapambano)
5. Ubepari unahitaji elimu na mtaji, kama huna mtaji huwezi kuwa bepari bali utakuwa mtumwa.
6. Muundo wa Serikali bado ni wa Kijamaa zaidi.

Hizi zote ni sababu ambazo tulitakiwa tujifunze makosa haya kutoka nchi kama Kenya, Malawi na kadhalika ambao zilikuwa za kibepari lakini zilishindwa kuendelea pia kuendelea. Soul searching haiwezi kusaidia kitu ikiwa sisi wenyewe hatukubali kunywa Pombe ni haramu (Uzalendo), Na kama ukinywa Pombe (policy) huruhusiwi kuendesha gari. Tatizo letu tunaamini na kutoamini yote haya japokuwa vifo mabarababarani vinazidi kuongezeka..
 
Hapa kidogo bado sikubaliani kwa sababu Nyerere hakushindwa yeye bali Siasa ya Ujamaa ambayo seriikali ilihodhi njia za Uchumi ndio yalikuwa makosa, walishindwa China, Urusi na sehemu nyingine zote zilizotumia serikali yao kuendesha biashara na Uchumi wa nchi, hivyo halikuwa swala la viongozi bali kimfumo, lakini tofauti inakuja pale tulipoamua kurekebisha makosa hayo viongozi wetu pia wali shift pande na kutaka wawe wafanyabiashara at the same time wakiongoza nchi. Makosa yalikuwa:-
1. Kuondoa Miiko na maadili ya viongozi.
2. Kubinafsisha kwa malengo ya kufilisi mashirika yetu. (kugawana umaskini)
3. Kuundwa kwa vyama vingi hakukutokana na tofauti za kiitikadi, watu na mazingira ya kiuchumi.
4. Tuliondoa Uzalendo kwa Wananchi na kulifanya Taifa letu uwanja wa fisi (mapambano)
5. Ubepari unahitaji elimu na mtaji, kama huna mtaji huwezi kuwa bepari bali utakuwa mtumwa.
6. Muundo wa Serikali bado ni wa Kijamaa zaidi.

Hizi zote ni sababu ambazo tulitakiwa tujifunze makosa haya kutoka nchi kama Kenya, Malawi na kadhalika ambao zilikuwa za kibepari lakini zilishindwa kuendelea pia kuendelea. Soul searching haiwezi kusaidia kitu ikiwa sisi wenyewe hatukubali kunywa Pombe ni haramu (Uzalendo), Na kama ukinywa Pombe (policy) huruhusiwi kuendesha gari. Tatizo letu tunaamini hatuamini yote haya japokuwa vifo mabarababarani vinazidi kuongezeka..

Mkandara,

We can talk about the past the way we want, but we aren't going to change it. I believe the way to move forward is learn from the past mistakes, build our capabilities in any areas, learn from our global competitors, and pass our excellence to future generations.

My question to you now is if you are given a chance to lecture Tanzanian students or to give a seminar in the area of your expertise, what would you tell your audience?

I would like to know how you achieve results in the area of your expertise.
 
Zakumi, ninaomba kuisahihisha sentensi yako ya mwisho badala ya kusomeka hivi "Kwa kutumia mifano hii, inaonyesha safari ya China na Tanzania ni tofauti japokuwa nchi hizi mbili ziliwahi kufuata siasa zinazofanana."
isomeke hivi
"Kwa kutumia mifano hii, ni dhahiri Tanzania inaweza kujifunza kwa China na hili linawezekana kama tukipata kiongozi mwenye maono na mwenye uwezo wa kuwaambukiza wananchi wengi hayo maono yake"
Napenda kusisitiza kuwa kiongozi ana mchango mkubwa mno katika mafanikio au kushindwa kwa shughuli yoyote, Steve Jobs alipofukuzwa Apple baada ya kutofautiana na wenzake kampuni iliyomba na kupoteza mwelekeo ambao wenzake walidhani wangeweza kufanikisha ndoto zake bila yeye kuwepo, wakamrudisha na leo Apple Computers ni miongoni mwa makampuni ambayo Wachina wameshindwa kuiga bidhaa zake, hata ukiangalia mataifa kama Marekani utaona kabisa kuwa bila kuwa na watu kama John F Kennedy, huenda Marekani ya leo isingelikuwa taifa lenye kuheshimika kama Taifa kubwa la kidemokrasia.
Mifano ni mingi lakini ninachotaka kusema ni kuwa Mungu akimuinua Musa wetu, tunaweza kutoka utumwani kama ambavyo Mungu aliwainua Musa na Joshua kuwaongoza wana wa Israel kutoka utumwani Misri, naamini kuna siku Musa wetu atainuliwa!

Ntemi Kazwile,

Kama masahihisho yako yatafanya Tanzania ibadilike au kuongeza kitu kipya katika huu mjadala, ninakubali kusahihishwa.

Sasa turudi kwenye mjadala. Unasema kiongozi mwenye maono. Mama Theresa alikuwa ni kiongozi mwenye maono. Je ungeweza kumpa nchi aongoze?

Maono ni relative term. Je hayo maono yana relate vipi na maendeleo ya nchi? Kuna kipindi tulikuwa tunasema ukitaka maendeleo unatakiwa kuwa na kiongozi bora.

Lakini hatukujia kuwa bora ni relative term.
 
OK based on your recent point how does uneducated human being in the village somewhere in rural Tanzania supposed to play his part in elevating his life chances (im thinking that is where poverty is the most), if he wasnt provided with the right skills?. Huyu mtu si ataishi kwa mbinu alizozikuta na ufahamu wake ndio hule hule aliopewa hapo hapo kijijini. Wewe leo unaweza lalama kuhusu viongozi wabovu (because you have been informed of your rights through education, working, your socialization process and the rest), what about yeye wa kijijini ambae kanyimwa the right education and skills to understand his rights and the likes, si ndio kesho anakwenda kuwapa kura yake, wale wanaomuumiza now tell me how does this individual suppose to improve his chances?

Eric I suppose occasionally it is healthier to stop being salient hypocrites and call a spade a spade. It is not easy… We are a big country but still a awfully small nation in conditions of development of all spheres. My perspective is what matters is that each member of the nation be reached by the government and given all the essentialities needed by that person depending on the level of education and Work specialty of the person in question. It is an unavoidable fact that most Tanzanians are not that educated. In other words huyo wa kijijini hata kama hajasoma si it means kua there is something productive s/he is/has to do? That is where relinquishing the problems related to setbacks in her/his field should be directed… If it is fishing, agriculture or Whatever…. What is essential? Once an answer is obtain (from them through their representatives) that is when you know what it is you have to provide, focus and deliver to them. As a leader it means s/he has played part katika kuweka mazingira endelevu…. As a citizen you play your part in taking advantage of that or it is useless…

Hili suala ni la kikatiba zaidi we cant expect people to be patriots we give them the conditions and clear guidance on how they should conduct their bussiness and what is expected of them, again by creating groups that can check on them. That is how everybody else in liberal-societies is doing and it is working well for them, why cant we just copy that.
Hivi unadhani kua all these tribulations ambazo tunazo (hasa related to the Economic Development sector) major causative ni Katiba? IMO, Katiba is just part of the causative. The constitution may have its pores, but if indeed that katiba was adhered to the dot by the leaders and members of parliament we would have been far way better regardless it's imperfect state! Eric I remember my last thread in the Political Forum hapa JF you did comment touching on the same thing (which insinuated that katiba was the reason behind the prob)… I get an impression you have concluded all the social economic problems in our nation are more so because of the pores in the katiba. This to me would be a wrong postulation.

 
AshaDii,

Kuna ukweli kuwa ni lazima kila mtu afanye vizuri katika nafasi. Lakini ni nani anayeakikisha kuwa watu wanafanya vizuri katika nafasi hizo?

Tukikazania kuwa ni lazima watu wa chini nao wawajibike kwenye nafasi zao, tutakuwa kwenye catch 22: Huwezi kupata kiongozi anaye wajibika bila kuwa na watu wanaowajibika. Na huwezi kupata watu wanaowajibika mpaka uwe na kiongozi anayewajibika, vicious circle.

Imefika wakati wale wanaopenda nchi yao wajitolee na kuonyesha mfano.


Zakumi naona hujanisoma... Hio belif yako ulonayo kua Viongozi ndio washike roba lote la lawama na kataliana nalo kwa kweli.... Katika eneo ama entity yote yote ile yenye kundi mbili "it takes two to tangle" Ila tu Ukweli unabaki kundi moja lazima liwe na kazi kubw na ya ziada kuliko kundi lingine. Of course Viongozi kwa kiasi kikubwa nafasi yao iko juu zaidi na ndio maana s/he was labelled kama Kiongozi.... Kua S/he can play a big part katik kuwezesha unafuu wa maish kati ya makundi yote mawili na sio tu kwa kujiangalia kundi lao lililopo.

Hivo niseme basi kua nakubali partly hio postulation yako kuhusu viongozi... But hata alo chini ana nafasi kubwa thou not as big as anaemuongoza.
 
Mkandara,

We can talk about the past the way we want, but we aren't going to change it. I believe the way to move forward is learn from the past mistakes, build our capabilities in any areas, learn from our global competitors, and pass our excellence to future generations.

My question to you now is if you are given a chance to lecture Tanzanian students or to give a seminar in the area of your expertise, what would you tell your audience?

I would like to know how you achieve results in the area of your expertise.
Duh brother, to lecture students tena? it is above my will and expertise bob, I can only speculate what I think can be done..Lecturers are professionals primarily because their profession rest on expertise is plausible..

U know damn well that am not, I believe without having the concrete evidence for most of my posts, even though I might be able to gather evidence necessary to support some, much of it is available only to those with special aptitudes and skills honed over years of study and practice..Am not and I dont have such expertise. That's why am stuck in this JF nut hoping one day I/we can crack the shell inside out to be born as a new and fresh nation..

This is the future, all discussed here are my beliefs..I lack competence, skills, the sheer intellectual capacity, as well as the time. Usually, I lack the ability to critically evaluate the merits of evidence presented to me. Often I can not even understand it. Thus, if any of my beliefs are rational belief, it is not because I possess the evidence to justify it, it is because I believe with good reason that others possess the necessary evidence..That is the main aim of a forum - isn't it?
 
Kuondoa umasikini Mfano, njia, na dira inatakiwa kutolewa na vingozi nahaohao vingozi waishi yale wanayohubiri.

Tukisema kuondoa Umasikini ni result orinted je ni result gani hizo zinazotolewa na kuthibitshwa na nani .ni IMF, WB au Wizara ya fedha?

Inawezekana wapo viongozi wengi wanaumizwa na umasikini wa watanzania lakini hawajui katika postion zao nini wafanye kikubwa au kidogo kinachweza kuleta mabadilliko tofauti na mazoea waliyoyakuta. kifupi hatuna Vingozi wenye maawazo mapya na UBUNIFU au VISION

Mfano tujiulize. Hivi hakuna waziri au RC ,PS au CEO wa shirika kubwa ambaye anaweza kuonyesha mfano wa kusema no to VX akatumia japo Vitara. Je
  • hautakuwa mfano kwa hata wengine?
  • ataokoa shilingi ngapi za mafuta wa wiki mwezi na mwaka.

Wananchi wengi sisi tuna umasikini wa mali lakini viongozi wetu wana umasikini wa fikra ambao nao umehamia kwetu wananchi. Ndio maana nimetoa mfano wa VX nadhani viongzoi wengi na MA CEO wengi wa mashirika ya Umma tanzania wanaweza kuona ni kudhalilishwa wao kutumia gari ndogo.( Umasikiniwa fikra )


Haya tunaambiwa kiwanja cha ndege cha kimataifa Songwe mbeya kitasiaida soko la maua.At the same time raal backbone infastructure ya kuondoa umasikini TAZARA iko hoi.!!!!!!!! Huo umasikini wa maua ni wa faida ya nani. Hivi
  • Wananchi wangapi wana uwezo wa kupaa kwa kutumia hivi vianjwa vya ndege ?.
  • Ton ngapi za mahindi mazao na bidhaanahata watu zisafirishwa kwenye hivi viwanga kama cha songwe ili bidhaa ziwafikie wananchi na movement ya bishara iwe rahisi

Hiyoo ni mfano mdogo kuwa poverty elimantion ni zaidi ya resut oriented.

Kuna kitu kitu inaiwa SWOT analysis. Viongozi wakuu wanatakiwa kukaa chini na kutafuta nini ni SWOT za Tanzania na nini ifanyike kuhusu hizo SWOT kwenye sekta mbalii mbali kwa kufuataPriority fulani. Sasa ni ajabu nchi inayotegea utalii wa wanyama pori( Serengeti) kuwauza hao hao wanyama pori kwe bei cheee waende ne wenye mazoo. Kifupi hatutambua hata SWOT yetu kama nchi so tunajihujumu sisis wenyewe. Kama ningekuwa wazili wa utali ningepeelaka hadi bunge la afriamashariki kupiga maruufkfuku kuuza wanyaa pori hai nje ya chi. Kama kuna ulazima basi iwepo cap au tuwakodishe hao wanyama badala ya kuwauza. Wachina ambao nina nadhani homework yao ya SWOT wameshamaliza wanawakodisha panda wao Sio kuwauza kama sisi tunavyouza.

We need to set Our priorites right . sio kilimo kwanza cha kisiasa tu kivitendo mhh

Cha mwisho nadhani wengi wetu tunapooonglea poverty tunatazma zaidi material weath. So am asking Wht is poverty? na ni poverty gani tunayotakiwa kuondoa.
 
Zakumi nionavo mimi ni kuwa kuna tatizo kubwa sana katika jamii ya wananchi wa Tanzania; achilia mbali matatizo ya uongozi. Wananchi tumekua na kasumba ya kuamini kua Maendeleo ya nchi hii yetu changa yataletwa na Uongozi wa Inchi, kwamba raisi akiwa na qualities zote za Uzalendo baaas!

Tunasahau kua Yule kiongozi ana delegate tu, tukisahau kua kila mwananchi ana nafasi yake katika kutaka boresha maisha na maendeleo ya inchini kwake, tukisahau kua ni mwananchi wa kawaida kabisa anae changia kuporomoka na kurudi nyuma kwa maendeleo ya wananchi.

Ma Boss wa taasisi mbali mbali za serkali, Wakubwa wa Mali za Umma, na Viongozi hadi wa chini kwa kiwango kikubwa wanafanya kazi chini ya maadili….

Kila mmoja ni mbinafsi, Kila mmoja hana uzalendo na wala hana Uchungu na mali ile ambayo anasimamia…. Kukomboka kwa inchi.

Na the Irony ni kua hao hao wanachi wanaofanya kazi kinyume cha maadili na kujilimbikizia pesa ambazo sio zao wanazipata kwa Magendo wapo so MAD at leaders such as akina BWM na EL.

Mwalimu katika hotuba yake (Ilikua Mbeya if not mistaken) alim quote Marehemu Rais wa Marekani J. F. Kennedy…. "Usiulize Inchi yako itakufanyia nini, Jiulize wewe Utaifanyia nini Inchi yako". (This quote is applicable to the issue umewakilisha hapa)

Mkuu, sijui kama tuaongea kitu kimoja ila hii uliyoita kasumba naamini ni sawa kwa kiasi kikubwa sana. sitaki kuamini kuwa matairi mazuri yanayofanya kazi vizuri yataongoza gari - bado gari kwenda linakotarajiwa itategemea aliyepo katika usukani. kama raisi ana uwezo kuongoza na ana sifa za uzalendo na determination atamobilize, coordinate, organize and motivate efforts zako na zangu ili maendeleo yatokee. kudelegate ni sawa lakini usisahau kuwa ukidelegate bado una wajibu na jukumu la kuhakikisha ubora/usahihi wa kilichofanywa na uliyemdelegate.

kuwa maboss wanafuata maadili au ni jukumu lako kwanza kuonesha mfano na kuhakikisha wengine wanaufuata
Mfano mzuri unaonekana katika utendaji kazi wa serikali ya nchi changa na maskini ya Rwanda

nawasilisha
 
Zakumi naona hujanisoma... Hio belif yako ulonayo kua Viongozi ndio washike roba lote la lawama na kataliana nalo kwa kweli.... Katika eneo ama entity yote yote ile yenye kundi mbili "it takes two to tangle" Ila tu Ukweli unabaki kundi moja lazima liwe na kazi kubw na ya ziada kuliko kundi lingine. Of course Viongozi kwa kiasi kikubwa nafasi yao iko juu zaidi na ndio maana s/he was labelled kama Kiongozi.... Kua S/he can play a big part katik kuwezesha unafuu wa maish kati ya makundi yote mawili na sio tu kwa kujiangalia kundi lao lililopo.

Hivo niseme basi kua nakubali partly hio postulation yako kuhusu viongozi... But hata alo chini ana nafasi kubwa thou not as big as anaemuongoza.

AshaDii,

Ukisoma utangulizi wa thread hii, katika paragraph ya pili nimeuliza kuwa je nchi ikipata viongozi inaowata tunaweza kuendelea? Jibu ni 50/50. Hili viongozi waweze kuleta maendeleo wanahitaji effective tools: abstract, concrete, or both.

Abstract tools ni kama vile policies, theories, etc. Concrete or real tools ni kama vile human capital, financial capital and other resources.

Vitu hivi tunavizungumza sana hapa JF. Lakini kitu ambacho ningependa katika thread hii sio kutoa lawama kwa viongozi na kwa watu. Ninachotaka ni kusikiliza watu na uzoefu wao.

Kama wewe ulisoma katika nchi fulani na kupenda mfumo wao wa elimu, toa mchango wako. Kama wewe huko kwenye masuala ya uchumi toa mchango wako.
 
Back
Top Bottom