BAGAH
JF-Expert Member
- Jan 17, 2012
- 4,523
- 1,060
JF Senior Expert Member my as**!!...ivyo ni vyeo tu, na haupewi kwa kupost kitu chenye maana...you have no option dogo.
Najua unajisikia raha sana kubishana na JF Senior Expert Member, ambae mchango wangu unatambulika humu jamvini, tofauti na wewe unayejitutumua, keep it up, na mimi sitakuvunja moyo, nazidi kukupa matumaini.
Inawezekana signature yangu hujaiona, ila ipo.
Itafute uisome, au ukiona chenga ianzishie thread, memba watakupa majibu.
Adios...
ingekua hivyo ww ucngepata, maana una pumba 3000 na zaidi...so icho cheo umepewa kwa kulisugua jamvi muda mrefu kwa kulikalia, na sio kwa post zako...upo jombaa?