Nasikitishwa na utendaji kazi wa wafanyakazi wa shirika la Posta sehemu ya masanduku ya barua, wamekuwa na tabia sugu,mbaya na ya muda mrefu ya kufungua barua/vifurushi wanavyoweka kwenye masanduku.Majuzi tu nimekuta barua zangu tatu kati ya tano zilizokuwemo humo sandukuni zikiwa wazi na baadhi docs wamechokonoa.Hapo siku za nyuma nilishaenda kulalamika lakin tabia naona bado ile ile,nimeshapoteza imani nao.Waache mchezo huu.