Ibra kadabra00
Member
- Jun 26, 2015
- 23
- 2
Jaman naomba kuliza post zinatoka lini?
Kwa wale wanafunzi wa kidato cha nne waliofanya vizuri ktk mitihan yao ya kumaliza elimu ya secondary na kufanya vizuri ila Serikali ya Tanzania ikashindwa kuwapatia nafasi za yakujiunga na kidato cha tano.
Tukikumbuka tamko la waziri wa elimu haki sema kuwa zitatoka soon!
Kwa wale wanafunzi wa kidato cha nne waliofanya vizuri ktk mitihan yao ya kumaliza elimu ya secondary na kufanya vizuri ila Serikali ya Tanzania ikashindwa kuwapatia nafasi za yakujiunga na kidato cha tano.
Tukikumbuka tamko la waziri wa elimu haki sema kuwa zitatoka soon!