Amon Mtekateka
JF-Expert Member
- Jun 4, 2014
- 1,225
- 333
Mpaka leo sielewi hii wizara inatutafuta nini au hii wizara haipo kwa ajili ya elimu mpaka leo post hamna
autuandanamane
autuandanamane
Hata mimi nahisi itakuwa ni hivyo ngoja tusubiriNext week mambo yatakuwa tayari..
Subira huvuta heri lakn subira hii yetu imezidiusijali zinatoka hivi punde tu!
Wewe ndo unawapeleka chuo?hawawezi wakatoa post kwa sasa wakati wengine wamepata dv1,2 and 3 na wanataka kwenda uwalimu,kwanza wapangiwe vyuo watakao kwenda kusomea uwalimu kisha watatoa post zote za vyuo na za advance
msiwe na haraka hii ndio TZ bana
Inawezakua wizara pia inaangalia kombe la duniaHadi kombe la dunia liishe
Kuanzia kesho mpaka ijumaa zitakua tayari.
Sent from my BlackBerry using JamiiForums
wewe umejuaje?