seleman msumeno
JF-Expert Member
- Apr 26, 2015
- 202
- 34
selection ya wanafunzi waliochaguliwa kujiunga na kidato cha tano kwa mwaka 2015,ni dhahiri kwamba zitatoka wiki tatu kabla ya kufunguliwa kwa shule kwa muhula wa pili,chanzo cha tetesi hii ni kutoka kwa mmoja wa wafanyakazi wa jengo la tamisemi. my take: selection kwa waliochaguliwa kujiunga na kidato cha tano zinaweza kutoka kuanzia sasa mpaka tar.16/6/2015 kwa sababu rufaa za necta tayari zimeshatoka kwa awamu mbili na pia ajira kwa walimu kwa selection ya pili zimeshatoka na pia form six wamesha pata kumaliza mitihani yao ya mwisho na pia kidato cha tano wamesha anza mitihani yao ya terminal kwa ajili ya kufungia shule.KWA HIYO KUANZIA SASA POST ZITATOKA MDA WOWOTE ,GET PREPARED!!!!