Lastname
JF-Expert Member
- Feb 23, 2012
- 922
- 296
Napata shida sana wadau wa jf ni post yangu ya kwanza toka nimeingia humu jana, watanzania hatuna serikali. Sijapata jambo ambalo nimeisifia hii serikali na kuona inafanya kazi. Source ya failure ni kule kupeana madaraka watu wasio na uwezo kama mama meghji.
Kamala n.k ambao unakuta mkuu wa nchi kawang'ang'ania kama nini hata kama wananchi watawakataa. Hii ndio source ya matatizo yote yanayotukabiri.
Watu wanamsifia JK kuhusu mswada wa katiba wakati wanaotakiwa kusifiwa ni mabalozi walioona uhuni unafanyika pale bungeni wakaenda kumbana na kusema badili hiii, lakini yeye alishakubari na akasign hivyo ni mabalozi ndio wa kusifiwa. Yeye kazi ni ku praise wazungu. Inaniuma sana ndugu zangu watanzania nchi inaendeshwa kihuni huni sana.
Kamala n.k ambao unakuta mkuu wa nchi kawang'ang'ania kama nini hata kama wananchi watawakataa. Hii ndio source ya matatizo yote yanayotukabiri.
Watu wanamsifia JK kuhusu mswada wa katiba wakati wanaotakiwa kusifiwa ni mabalozi walioona uhuni unafanyika pale bungeni wakaenda kumbana na kusema badili hiii, lakini yeye alishakubari na akasign hivyo ni mabalozi ndio wa kusifiwa. Yeye kazi ni ku praise wazungu. Inaniuma sana ndugu zangu watanzania nchi inaendeshwa kihuni huni sana.