Post moterm: Nyakarungu na Dr Makatta uso kwa uso tena Babati

Ngoja nijibu shutuma mchwara zote hapo juu....Mie ni mzalendo na mtafiti wa mambo ya kijamii na wala sina udugu wala ujamaa na Dr Makata na hata hiyo CCM.Bugando wapo pathologist hata Muhimbili wapo....ila shida hukuangalia zaidi maelezo yangu baada ya PHD nilisema amemaliza postdoc ya Forensic Medicine Australia...kama umeenda shule wajua maana ya postdoc....Hao wote uliowataja a wengineo ni Pathologist na hawana postdocYule anayejiita daktari wa familia kule Tarime ni CLINICAL OFFICER, jitume kidogo kwa kwenda kwa Msajili wa madaktari wizara ya Afya na utaupata ukweli...usiwe mwepesi kutoa hoja dhaifu......Tatizo, wengi hamkunielewa maana halisi ya mchango wangu hapa....Kuna ulazima wa familia za wahanga kuwa na daktari wao mwenye uwezo kitaaluma ili iwe rahisi kwa Mawakili kupeleka kesi mahakamani...nakubaliana hata MD au Pathologist anaweza fanya vizuri katika hilo na si kupeleka ma CLINICAL OFFICER katika issue hizi jamani
we bure kabisa,huwezi kusoma pathology bila forensic medicine hvyo kama ni pathologist then akasoma forensic kwenye hyo postdoc hiyo ni super-speciality ni sawa na surgeon akaenda surgical oncology either in paediatrics or gynaecology
 
Ndugu yangu nina hakika nisemayo.....NI CLINICAL OFFICER, yeye si ndo mwenye mada alete CV yake hapa ili na sisi tumwage ugali.......
Au na wewe CLINICAL OFFICER? Jamani kimbelembele chenu cha kutaka umaarufu kinafanya hata mawakili wa CHADEMA washindwe peleka mashtaka.... ACHENI KUTAFUTA CHEAP POPULARITY.......
Haya mzee umesomeka,

Sasa nakuomba ueleze aina za madaktari uzuajo, na uweke aina ya taaluma inayompa dr uhalali wa kufanya hiyo procedure.
pia nikuombe usiwe mnafiki kama ww ni makatta andika kuwa ndiyo na useme kwa nini ulikubali kufanya kazi na co ambaye hana sifa ya kufanya procedure hiyo.

Au kama wewe ni mmoja wa waliobebwa juzi kwenye issue ya haueni useme pia na ujibu kama tunaingia kufanya procedure ile bila vitambulisho, na je unaijua natomy and physiology, kama unaijua je hata hao ma co hawasomi na unajua tofauti ya post moterm na operation procedures.

Mwisho wewe ni mnafiki na nyoka mkubwa...kwa nn unajificha kwa jina feki..jitokeze na ulete hapa majina yako na uthibitisho wa uelewa mdgo nilio nao kwenye taaluma yangu mpuuzi mkubwa wewe, kama nisingekuwa na uwezo wa kufaulu je leo ningekuwa hapa....nataka ujitokeze hadharani kwa jina sio la kichina.

Na kama ww ni Makatta au wale waliobebwa juzi nitakutambua tu endelea kujibu hoja hapa...andika post tatu tu utaona au andika kwa id nyingine nitakugundua.
 
Acha kutisha watu na taaluma zenu uchwara zilizofeli kulisaidia taifa. Hivi kila kitu lazima kifanywe na daktari bingwa?? Mmekalia kuwalamba miguu Magamba na kusahahu kwamba elimu ni kwa ajili ya kuusaidia umma na hususan wanyonge ambao hawakupata fursa ya kutoa tongotongo. I bet wewe ndio Makatta mwenyewe, watu kama nyinyi ni hasara kwa taifa na sidhani kama mnahitajika. Ni bora kuwa na ma-medical officer wenye moyo wa kuwatumikia wananchi kuliko 'daktari bingwa' mwene nyodo na mbinafsi anayekalia kuwalamba miguu Magamba huku wanamng'ong'a. Pambaf ........
Ooya! Magamba yanaingiaje hapo?
 
Anachofanya ni kudanganya umma kupitia Media...ohh hivi na vile kumbe tatizo ni yeye kwa kujipa uwezo wa kitaaluma ambao si wake!!....unajijua ni CLINICAL OFFICER na umeharibu TARIME kwa kujali umaarufu na njaa unakwenda tena BABATI.......Hata tukimleta OCAMPO wa ICC pale CHADEMA hatutapeleka mashtaka mahakamani....


shida yangu uje kwa jina lako kama mimi hadharani tu..kisha nitakujibu utumbo wako...siwezi kuongea na kivuli
 
Ndugu yangu hebu acha kudanganya wana Great thinker....naamini ulieendika mada hii ni yule unayejiita daktari (SIYO DAKTARI BALI TABIBU)uliyeshiriki post morterm KULE Tarime kama daktari wa familia....kwanza tambua hivi ....Dr Makata ni senior pathologist mwenye ujuzi wa Mambo ya forensic medicine, hivyo si ajabu kwenda na kushiriki kwenye issue hizo...katika Tanzania yetu sidhani kama tuna mabingwa zaidi ya wawili katika eneo hilo (MD, Master in Pathology Japan, PHD in Pathology Japan, Postdoc in forensic Medicine Australia).....na wewe ndugu yangu ni CLINICAL OFFICER, ni makosa hata kujiita daktari.....Wacha kujenga chuki ndani ya jamii kwa inferiority complex yako.......
Mkuu, naomba nikukosoe kidogo kisha nikuunge mkono.Tabibu ni mtu anayepractice clinical medicine. Anaweza akawa na Ordinary Diploma (CO), Advance Diploma (AMO), Bachelor Degree (MD) ama Master Degree (if specialize in any field of clinical medicine e.g. Internal Medicine).

Ni kweli kuwa CO na AMO hawatakiwi kutumia title ya Dr. Kama Nyakurungu ni CO, naomba usitumie tena title ya Dr usijeaibika zaidi ya yule Naibu Waziri wa Afya, nani sijui Kigoda ambaye alikuwa AMO.Mahakamani wanaotakiwa kutoa ushahidi wa postmortem ni registrars (holder of first degree and above-MD na kuendelea) jukumu hilo atalifanya Dr Makatta na si Nyakurungu. Lakini kunatatizo Dr Makatta yuko Wizara ya Mambo ya Ndani..?

Zamani ndiyo alikuwa mtumishi wa Wizara ya Afya na Ustawi wa Jamii.
 
Haya tutajie hao wengine unaowajua wewe (na qualification zao plz)..........TUSEME UKWELI DAIMA HATA KAMA UNAUMA!!

nakutaka hadharani kwa jina lako kama mimi, na ikiwa hujui jambo usikurupuke...unajua tofauti ya potmoterm na operation....au umekariri tu.
subiri kesi ianze ndipo utajua.

naona unatamani taaluma uliyofail sec. na ukaenda kusoma secretarial course na ndiyo uanyotumia kuandikia humu jf.

wajua kinachofanya kazi ni anatomy and physiology pale...au unaropoka tu.
 
Haya mzee umesomeka,

Sasa nakuomba ueleze aina za madaktari uzuajo, na uweke aina ya taaluma inayompa dr uhalali wa kufanya hiyo procedure.
pia nikuombe usiwe mnafiki kama ww ni makatta andika kuwa ndiyo na useme kwa nini ulikubali kufanya kazi na co ambaye hana sifa ya kufanya procedure hiyo.

Au kama wewe ni mmoja wa waliobebwa juzi kwenye issue ya haueni useme pia na ujibu kama tunaingia kufanya procedure ile bila vitambulisho, na je unaijua natomy and physiology, kama unaijua je hata hao ma co hawasomi na unajua tofauti ya post moterm na operation procedures.

Mwisho wewe ni mnafiki na nyoka mkubwa...kwa nn unajificha kwa jina feki..jitokeze na ulete hapa majina yako na uthibitisho wa uelewa mdgo nilio nao kwenye taaluma yangu mpuuzi mkubwa wewe, kama nisingekuwa na uwezo wa kufaulu je leo ningekuwa hapa....nataka ujitokeze hadharani kwa jina sio la kichina.

Na kama ww ni Makatta au wale waliobebwa juzi nitakutambua tu endelea kujibu hoja hapa...andika post tatu tu utaona au andika kwa id nyingine nitakugundua.
Sasa bwana nyakarungu hapa unadhihirisha upeo wako kuwa mdogo,jazba la nini?

Jibu hoja kwa hoja, ina maana hujawahi kwenda mahakamani kwa sababu mpinzani wako lazima akuprovoke kama alivyofanya jamaa hapo juu,kwa bahati mbaya wewe umetegwa na ukategeka. Anatomy na physiology husomwa na ma-nurses kwa mantiki hiyo nurse=C.O=AMO=ADO=M.D?!
 
Anachofanya ni kudanganya umma kupitia Media...ohh hivi na vile kumbe tatizo ni yeye kwa kujipa uwezo wa kitaaluma ambao si wake!!....unajijua ni CLINICAL OFFICER na umeharibu TARIME kwa kujali umaarufu na njaa unakwenda tena BABATI.......Hata tukimleta OCAMPO wa ICC pale CHADEMA hatutapeleka mashtaka mahakamani....

Unataka kusema report ya Dr. Makatta haiwezi kutumika? Au unataka tuamini kuwa yeye kama a qualified pothologist with Post Doc anatoa report ya uongo? Mbona unatuchanganya? Nielewavyo mimi ndugu wanahaki ya kudai post-moterm, kwa kuwa kulikuwa na mtaalam aliyebobea (Makata) ilitosha kabisa kuwepo na CO kutoka upande wa ndugu, hata mwingine ambae hajaenda shule.

Kumbuka huku kwetu CO ndiye Daktari wetu, kwa kuwa alitakiwa daktari ndio maana akawa yeye. Kama kuna mtu anataka kwenda mahakamani aende tu, report ya Dr. Makata itatumika. Nyakarungu atakuwa shahidi aliyeona kilichofanywa na Dr. Makata hata kama yeye si Mtaalum. Anaweza kuelezea kilichofanya na huyo mtaalam.
 
shida yangu uje kwa jina lako kama mimi hadharani tu..kisha nitakujibu utumbo wako...siwezi kuongea na kivuli
kaka nyakarungu nimegundua hapa tunahangaika na mtu ambaye anatumia nguvu kuleta hoja zake na sio hoja zenye nguvu,unatumia nguvu kubwa kuita wengine ma CO.We ni mtu wa ajabu kabisa pengine hujui au kwa makusudi unaamua kuzunguka tu.Jibu liko wazi forensic medicine ni sehemu ya pathology.
 
nakutaka hadharani kwa jina lako kama mimi, na ikiwa hujui jambo usikurupuke...unajua tofauti ya potmoterm na operation....au umekariri tu.
subiri kesi ianze ndipo utajua.

naona unatamani taaluma uliyofail sec. na ukaenda kusoma secretarial course na ndiyo uanyotumia kuandikia humu jf.

wajua kinachofanya kazi ni anatomy and physiology pale...au unaropoka tu.

Nyakarungu weka CV yako kama kweli wewe ni daktari.....ili nimwage ugali
Usidanganye watu hapo....tumo watu makini katika mtandao huu
 
Mkuu, naomba nikukosoe kidogo kisha nikuunge mkono.Tabibu ni mtu anayepractice clinical medicine. Anaweza akawa na Ordinary Diploma (CO), Advance Diploma (AMO), Bachelor Degree (MD) ama Master Degree (if specialize in any field of clinical medicine e.g. Internal Medicine).
hii tafsiri ya tabibu umeitoa wapi?ninavyoelewa kuna Tabibu na Daktari na madaraja yake mfano M.D anaitwa daktari drj la 2 na sio tabibu.
 
Ndugu yangu hebu acha kudanganya wana Great thinker....naamini ulieendika mada hii ni yule unayejiita daktari (SIYO DAKTARI BALI TABIBU)uliyeshiriki post morterm KULE Tarime kama daktari wa familia....kwanza tambua hivi ....Dr Makata ni senior pathologist mwenye ujuzi wa Mambo ya forensic medicine, hivyo si ajabu kwenda na kushiriki kwenye issue hizo...katika Tanzania yetu sidhani kama tuna mabingwa zaidi ya wawili katika eneo hilo (MD, Master in Pathology Japan, PHD in Pathology Japan, Postdoc in forensic Medicine Australia).....na wewe ndugu yangu ni CLINICAL OFFICER, ni makosa hata kujiita daktari.....Wacha kujenga chuki ndani ya jamii kwa inferiority complex yako.......

Waliotuingiza kwenye mikataba mibovu ni akina chenge, ni wanasheria waliobobea na waliosoma katika vyuo vinavyoheshimika duniani, kama vile Havard University! Kwa hiyo hoja hapa sio una elimu gani ama umesoma wapi! Kikubwa ni dhamira!
 
Unataka kusema report ya Dr. Makatta haiwezi kutumika? Au unataka tuamini kuwa yeye kama a qualified pothologist with Post Doc anatoa report ya uongo? Mbona unatuchanganya? Nielewavyo mimi ndugu wanahaki ya kudai post-moterm, kwa kuwa kulikuwa na mtaalam aliyebobea (Makata) ilitosha kabisa kuwepo na CO kutoka upande wa ndugu, hata mwingine ambae hajaenda shule.

Kumbuka huku kwetu CO ndiye Daktari wetu, kwa kuwa alitakiwa daktari ndio maana akawa yeye. Kama kuna mtu anataka kwenda mahakamani aende tu, report ya Dr. Makata itatumika. Nyakarungu atakuwa shahidi aliyeona kilichofanywa na Dr. Makata hata kama yeye si Mtaalum. Anaweza kuelezea kilichofanya na huyo mtaalam.

Hapana la hasha.... Makata ni daktari aliyeajiliwa na wizara ya afya lakini yupo seconded wizara ya mambo ya ndani....kwa mantiki ya kawaida atakuwa anawakilisha jeshi la polisi....tulihitaji competent doctor upande wa familia ili kusaidia wanasheria wa CHADEMA na familia kutengeneza hoja na kupeleka mahakamani...... kutokana na mapungufu hayo ndiyo maana tunalalamika leo kwa nini hakuna kesi mahakamani...
 
kaka nyakarungu nimegundua hapa tunahangaika na mtu ambaye anatumia nguvu kuleta hoja zake na sio hoja zenye nguvu,unatumia nguvu kubwa kuita wengine ma CO.We ni mtu wa ajabu kabisa pengine hujui au kwa makusudi unaamua kuzunguka tu.Jibu liko wazi forensic medicine ni sehemu ya pathology.
mkuu medicine is very dynamic!inawezekana wakati unasoma wewe forensic med ilikuwa ni sehemu ya pathology lakini sasa forensic med ni somo au kipengele kilichosimama peke yake.in Tanzania most complicated postmortem are done by histopathologists kwa sababu hakuna kitengo cha forensic medicine/investigation kinachojitegemea!"the day you are graduating is the day you become an outdated doctor"
 
Waliotuingiza kwenye mikataba mibovu ni akina chenge, ni wanasheria waliobobea na waliosoma katika vyuo vinavyoheshimika duniani, kama vile Havard University! Kwa hiyo hoja hapa sio una elimu gani ama umesoma wapi! Kikubwa ni dhamira!
Nakubaliana na wewe mkuu....na ndiyo nimeamua kutoa mchango huu ili kina Nyakarungu waache kudanganya umma na watu makini na wenye machungu wafanye kazi hiyo kwa manufaa ya jamii......
 
Nakubaliana na wewe mkuu....na ndiyo nimeamua kutoa mchango huu ili kina Nyakarungu waache kudanganya umma na watu makini na wenye machungu wafanye kazi hiyo kwa manufaa ya jamii......
naanza kuamini huyu mtu si makini na anayependa kujikweza!hata title ya thread inaonyesha hivyo.Hivi ni post moterm au post mortem?
 
naanza kuamini huyu mtu si makini na anayependa kujikweza!hata title ya thread inaonyesha hivyo.Hivi ni post moterm au post mortem?
Kaka huyu ni zaidi ya hapo, ni hatari kwa jamii, amedanganya ndugu zangu TARIME kama haitoshi kaenda BABATI....nini anawasaidia hakuna........
 
Nyakarungu weka CV yako kama kweli wewe ni daktari.....ili nimwage ugaliUsidanganye watu hapo....tumo watu makini katika mtandao huu
Kama umakini wenyewe ndio huu basi twafa.Si uweke na wewe CV yako tuone uhalali wako wa kuwabishia wengine? Nyakarungu kakwambia wazi,kama unajiamini njoo na Jina lako halisi na CV yako,unaleta blah!blah!blah!
 
Waliotuingiza kwenye mikataba mibovu ni akina chenge, ni wanasheria waliobobea na waliosoma katika vyuo vinavyoheshimika duniani, kama vile Havard University! Kwa hiyo hoja hapa sio una elimu gani ama umesoma wapi! Kikubwa ni dhamira!
Well said Mkuu,jamaa kashupalia CV ya Nyakarungu na kuja na mivocabulary kibao ambayo haisaidii chochote.Haya sasa huyo Daktari Makata hizo report zake zimewasaidia ndg wa marehemu kupata haki zao?" Oh ndio madaktari wawili peke hapa nchini" So what?
 
0 Reactions
Reply
Back
Top Bottom