Superman
JF-Expert Member
- Mar 31, 2007
- 5,695
- 1,696
Wana JF;
Tofauti na Uchaguzi Mkuu Wa 2005 katika Uchaguzi wa Mwaka huu 2010 JK amepata ushindi wa asilimia 61%+ ukilinganisha na 80%+ aliyopata 2005. Pia CCM imepoteza majimbo mengi kwa upinzani.
Je ni sababu zipi zilizopelekea kupata ushindi mdogo ukilinganisha na 2005?
Tofauti na Uchaguzi Mkuu Wa 2005 katika Uchaguzi wa Mwaka huu 2010 JK amepata ushindi wa asilimia 61%+ ukilinganisha na 80%+ aliyopata 2005. Pia CCM imepoteza majimbo mengi kwa upinzani.
Je ni sababu zipi zilizopelekea kupata ushindi mdogo ukilinganisha na 2005?