Post graduate Degree

mumanyi

Member
Jul 18, 2015
19
4
Habari wa JF,

Naombeni ushauri,nimesoma degree ya kwanza ya education ya open university ila GPA yangu iko chini yan 3.3.

Je naweza kupata chuo cha kusoma masters na kwa mashart yapi? maana naskia qualifications ni above GPA 3.5.

Nitashkuru wapendwa.
 
Habari wa JF,

Naombeni ushauri,nimesoma degree ya kwanza ya education ya open university ila GPA yangu iko chini yan 3.3.

Je naweza kupata chuo cha kusoma masters na kwa mashart yapi? maana naskia qualifications ni above GPA 3.5.

Nitashkuru wapendwa.

Kwanza Pole Kwa Kumaliza Masomo Yako Na Kuwa Na GPA Chini Ya 3.3 ILA Kujibu Swali Lako La Wewe Kutaka Kufanya Masters Yako Ni Kwamba Kama Sijakosea Karibia Vyuo Vingi Hapa Tanzania Humtaka Mtu Wa GPA Kama Yako Afanye Kwanza Kazi Kwa Miaka Angalau Mitatu ( 3 ) Kisha Ndipo Ukafanye Masters Degree Yako Japo Kusema Ukweli Kibongobongo Wanaweza Yote Hayo Wasiyazingatie Ila Wakazingatia MFUKO au UWEZO Wako Wa HELA. Kazi Kwako Mkuu!
 
asante,mm n mwalimu shule ya msingi tangu 2012 hvo tokea kuajiriwa nimekuwa nikisoma open,je hcho kigezo cha kufanya kazi miaka mitatu kinazingatia tokea nilipomaliza degree au?
 
sawa ndg,unaposema wana 3.2 wanapga masters baasi nisaidie inakuwaje ndo maana nikaleja jambo langu kwenu,nitashukuru!
 
asante,mm n mwalimu shule ya msingi tangu 2012 hvo tokea kuajiriwa nimekuwa nikisoma open,je hcho kigezo cha kufanya kazi miaka mitatu kinazingatia tokea nilipomaliza degree au?
G.P.A yako ina kuruhusu kufanya masters hizo mambo za kazini miaka mitatu sidhani km zna nguvu sana.....
 
Vyuo vingi Tanzania na programs nyingi zinachukua wenye ufaulu wa second class lower ambayo ni GPA ya 2.7-3.4 lakini kuna programs ambazo hupendelea huchukua kuanzia 3.0. Kwa hiyo inategemea unataka kusomea degree gani na wapi. Ingia ndani ya web-pages na tafuta prospectus ya chuo husika au matangazo ya admission yaliopita mwaka jana ingawa kuna uwezekano wa kubadilisha chuo kikiamua. All in all 3.3 sioni tatizo lake. Wish you all the best.
 
Back
Top Bottom