Iwapo wewe ni mwanachama wa CCM, ni ipi nafasi yako kuhusu suala hili? Kwani chama ni watu, sio mtu mmoja mmoja. Mimi binafsi nikiwa mwanachama, nasema chagua langu bado, na sioni anaetosha hadi sasa, na isitoshe, hakuna waliojitokeza hadharani tukasikia mipango yao kwa taifa hili, ili tuweze kubaini ni nani anatufaa. Vinginevyo, tukiendelea kujiuliza Mwenyekiti chaguo lake ni nani, huo utakuwa ni udhaifu mkubwa sana kwetu sisi kama wanachama kwani again, Chama ni Watu.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.