KAKA A TAIFA
JF-Expert Member
- Apr 27, 2011
- 566
- 80
Kwasababu madawati ni tatizo la kudumu katika shule za watotowetu napendekeza haya: -1=kila mbunge ,mkuu wa mkoa,mkuu wa wilya,wakurugenzi,manaibu waziri,wafanya biashara wakubwa,makampuni,mashirika,ngos,wizara,wa/ ajitoloee posho yake japo shilingi laki tano,wakuu wengine wa serikali wachangi laki mbili, ambayo atatengeneza madawatikwa kufuata vipimo sahihi na achangie kwenda wizara ya elimu wao watayapangia kutokana na mahitaji katika shule.wengine wenye mapenzi mema