TIQO
JF-Expert Member
- Jan 8, 2011
- 13,787
- 2,078
Huyu ni mkuu wa mkoa wa Kilimanjaro Bw. Leonidas Gama
Huyu ni mkuu wa mkoa wa Kilimanjaro Bw. Leonidas Gama
Mbunge wa Mbinga Magharibi, John Komba
Mbunge wa Mbinga Magharibi, John Komba
Didas Masaburi, meya wa jiji la Dar es salaam
Steven Wassira
Mambo ya kutafakari ki utu uzima.
Jamani posho mbaya sana zina madhara kiafya.
HUKU WANANCHI AMBAO NI MABOSS WAO HALI IKO HIVI
Watoto wanaketi chini hakuna madawati msitu wa Songea na Mafinga Sao Hill akina Lukuvi wamejipigia ufisadi ambapo serikali ingetengeneza masawati ya kutosha nchi nzima,
Watoto wa maboss (wananchi) ambao ndo viongozi waliopo madarakani wanatoka darasani
Shule ya msingi ambamo wanasoma watoto wa wapiga kura
Hata kwenye shule za sekondari nako hali mbaya
Hii ni zahanati mpiga kura ndo analalia kitanda hicho wao Muhimbili wanaenda kupumnzika kisha hao India
Hii ndo maabara ambapo mpiga kura anakuja kupimwa maradhi yake
Wapiga kura wanalala mzungu wa nne kitanda kikiwa full mpiga kura inamlazim adondoshe gari sakafuni anamwachia matumaini Mungu
Wapiga kura hawa wasio thaminiwa wakiwa wamerundikana kama wanyama wanapatiwa matibabu
maji anayo tumia mpiga kura kwa kunywa na kupikia na kufulia
Mpiga kura wa hao jamaa walio vimbiana matumbo akikata kiu kwa maji kumbuka hayo maji kayafuata kwa kutembea zaidi kilomita 20.