Elli
Platinum Member
- Mar 17, 2008
- 55,488
- 86,005
Niliumia sana kuona na kusikia eti ndio yalikuwa majibu ya Prime Minister......hata mwanangu hawezi kujibu ujin... kama ule, hivi hawa jamaa wanavyojifanya miungu watu tukishawachagua hiyo shilingi kumi utamuombea wapi?? kwanza walio wengi wameshahama hata huko majimboni na wanabiashara zao huko kunakoitwa mjini...utamwona wap[i??? wengine hawapokei hata simu, mbunge wangu mmoja siku moja tulikuwa na miadi kwa ishu fulani (sio ya pesa ila ya kimaendeleo kwa wote) muda ulipofika ili nimkumbushe, naona simu inapokelewa na mtu aliyejitambulisha msaidizio wake.....haya nipe basi simu niongee nae...oooh kalala piga baaadae, napiga tena ooh yupo kwene kikao!! Upuuuzi mtupu