Mtoto Wa Mbale
JF-Expert Member
- May 15, 2011
- 457
- 300
Du huyo ndiyo mbunge bwana!natamani ningezaliwa Arusha.mimi mbunge wangu anafanya kazi ya kuzindua albamu ya kumtukana Ruge!
Kama vile jamaa siku ile alitangaza kuuacha ubunge na kurudi kwenye sanaa. Anyway, waliomchagua bado wanamuheshimu.