Ikija scandal nyingine JEIKEI anavunja baraza la mawaziri ili mbaki mkijadili hiyo
Kama babu wa laliondo vs dowans.
Kama Babu wa Loliondo alikuzwa ili kutumika kufunika Dowans; niko najiuliza, hili zengwe la posho lina lengo la kufunika kitu gani??? Mwenye hisia anijuze!!!
Kama Babu wa Loliondo alikuzwa ili kutumika kufunika Dowans; niko najiuliza, hili zengwe la posho lina lengo la kufunika kitu gani??? Mwenye hisia anijuze!!!